Kwamba anasema majini wenyewe walimuita mtume wakutane ili aje awasomee Quran ili wasilimu?
😁😁😁Ni taarifa tu mkuu, naamini wapo wengi tu ambao walikuwa hawajaipata hii kwamba kumbe majamaa nao ni familia 😀
Kwahiyo mtume alikuwa anapandwa na majeen?Kipi cha ajabu
Hawana tofauti na kile biblia imeeleza labda kama unasomewa biblia siku ya juma pili tuKwamba anasema majini wenyewe walimuita mtume wakutane ili aje awasomee Quran ili wasilimu?
Ila kobazi bana, inahitaji kweli ujitoe ufahamu wa Akili ndo uyaelewe hayo mambo
Nimezungumzia kilichopo mezani hiyo reply sio ya kwako nafikiri umechanganya mamboZungumzia kilichopo sasa hivi mezani