a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 3,324
- 3,801
kumbe haya majini,mashwetwaini,mapepo wabaya,machafu ni ndugu zenu katika imani ????
Kesho nikumbushe now nimelewaniambie nilikoweka mipaka katika hayo tulioongea.
mkuu pande hizo wanasemaje kuhusu 7 7Kesho nikumbushe now nimelewa
77 ndio ninimkuu pande hizo wanasemaje kuhusu 7 7
saba saba77 ndio nini
ukweli wanaujua wanaosoma ILIMU YA FALAKI kisomo cha maarifa elimu ya maumbo,mbona wanafundishwa huko kuwa Lucifer alikuwa malaika mbinguni,akataka akatamani na yeye aabudiwe kama Mungu,akawaA moyoni mwake aanzishe enzi yake mbingu nyingine akawaahawiahi theluthi moja ya malaika ,malaika MIKAELI akapewa uwezo na Mungu wa kupambana na ye mana Mungu huwa hashindani na kiumbe alichokiumba yeye.Hakuna majini wema na majini wabaya.
MAJINI WOTE NI WABAYA
Hakuna majini wanao mwabudu mwenyezi Mungu huyu wa kweli muumbaji wa ulimwengu wote,majini wote wanamuabudu mungu wao mwenye majina 99 ambaye ni shetani kiongozi wao.
DAH! UONGO MKUBWA SANA ..
Sawa, enjoysaba saba
Kwa hiyo majini nao no wana wa Mungu?majini ni malaika walionguka wakiongozwa na kiongozi wao Lusifa
ukweli wanaujua wanaosoma ILIMU YA FALAKI kisomo cha maarifa elimu ya maumbo,mbona wanafundishwa huko kuwa Lucifer alikuwa malaika mbinguni,akataka akatamani na yeye aabudiwe kama Mungu,akawaA moyoni mwake aanzishe enzi yake mbingu nyingine akawaahawiahi theluthi moja ya malaika ,malaika MIKAELI akapewa uwezo na Mungu wa kupambana na ye mana Mungu huwa hashindani na kiumbe alichokiumba yeye.
Malaika Mikaeli akamtupa lucifer mpaka kuzimu pamoja na theluthi moja ya malaika walio asi(FALLEN ANGELS) ,lucifer akaitwa shetani na malaika zake wakaitwa mashetwaini,au majini.
haya majini yalipofika duniani yalizaa na wanawake watoto marefu MANEFIL yaliyokuwa na maarifa katika uovu na makatili ,haya majini ndio yaliyowafundisha wanadamu maarifa ya UCHAWI na elimu nyingine za duniani ikiwemo kutrngeneza silaha za vita ,unajimu,sayansi,elimu ya anga,n.k
shetani ana enzi kuu mbili
kuzimu ya chini kabisa ya duniani
na angani hapo juu
wakuu wa anga,wafalme wa giza,malkia na wafalme wa mbinguni,malkia wa baharini,wakuu wa baharini ,wenye mamlaka na joka kuu LEWEYATHANI....
AISEE watu wanadanganyana sana..ila wapo wwnye ILIMU zao wanajua wanawadanganya hawa MAAMUMAS.
Huyu Mzee bhn
hawa wazee unakuta wao wanajua ukweli wamesoma ILIMU FALAKI ILIMUBYA MAARIFA ambayo inaekezea vizuri kabisa asili ya maumbo elimu ya maumbo ikiwemo haya MAJINI,ila wanawadanganya hawa wasiokuwa na ILIMU(maamuma).Huyu Mzee bhn
hawa wazee unakuta wao wanajua ukweli wamesoma ILIMU FALAKI ILIMUBYA MAARIFA ambayo inaekezea vizuri kabisa asili ya maumbo elimu ya maumbo ikiwemo haya MAJINI,ila wanawadanganya hawa wasiokuwa na ILIMU(maamuma).
ni viumbe wa Mungu waliocha makao yao yaliyowahusu, wakaasi, saivi wanasubiri kutupwa kwenye lile ziwa ziwakalo moto (maana hukumu yao ilishatoka na wanajua)Kwa hiyo majini nao no wana wa Mungu?
howSawa, enjoy
Sio wana wa Mungu maana na wao si malaika?ni viumbe wa Mungu waliocha makao yao yaliyowahusu, wakaasi, saivi wanasubiri kutupwa kwenye lile ziwa ziwakalo moto (maana hukumu yao ilishatoka na wanajua)