Huu hapa msikiti wa majini

Huu hapa msikiti wa majini

tena kutoka al jazeera ..


Itakuwa kiengereza kinakupiga chenga au una ajenda zako nyengine . Sikiliza bila jaziba. huko China mbona kuna waislamu wengi tu majimbo tofauti. Hilo jimbo ni watu wa uighur wanaotaka kujitenga . Ni propaganda za siasa tu hapo.



View: https://www.youtube.com/watch?v=lfzeGMg0Sc4
 
Kwamba anasema majini wenyewe walimuita mtume wakutane ili aje awasomee Quran ili wasilimu?

Ila kobazi bana, inahitaji kweli ujitoe ufahamu wa Akili ndo uyaelewe hayo mambo
Ila mkuu ukiambiwa leo hii 👽 Alien wanakuja dunia na kuwasiliana na watu unaamini?
 
😁😁

Waendelee kudanganya watoto na vilaza wenzao

Kuita watu "watoto" na "vilaza" si hoja, ni njia ya kukwepa mjadala. Kama unaamini yaliyomo kwenye video ni ya uongo, onyesha ni sehemu gani imekosea na ulete ushahidi.

Matusi hayabadilishi ukweli. Hoja hupingwa kwa hoja, si kwa kuwadharau wanaoisikiliza.
 
Na dini yenyewe ni ya majini

Dini hii ni ya Majoka ??


1782720517953.png
 
Huwezi kuona jini ukiwa katika normal human body. Maana jini ni spirit.
 
Wewe ni mdini sana. Juzi umewatukana sana walokole. Ila Leo unajifanya ni Imani yao tu.
Hapana mimi wala sina dini, sisali wala siamini mambo ya Mungu iwe kwa waislamu au kwa Wakristo, sasa wao kuamini majini, na walokole niliowazungumzia kule wanahusiana vipi?
 
Back
Top Bottom