LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 16,076
- 29,753
Msikiti unaitwa " Maria Mama wa Yesu" na unapatikana Dubai.
Wakristu na waislamu huwaga ni wale wale.
Ndio maana akina Yericko Nyerere wameona warudi zao kwenye dini za asili za kumuomba Mungu kupitia mababu.
As for me, I shall go with my traditional ancestral veneration.
Sifuati dini ya Mzungu wala ya mwarabu.
Wakristu na waislamu huwaga ni wale wale.
Ndio maana akina Yericko Nyerere wameona warudi zao kwenye dini za asili za kumuomba Mungu kupitia mababu.
As for me, I shall go with my traditional ancestral veneration.
Sifuati dini ya Mzungu wala ya mwarabu.