Huu hapa msikiti wa Bikira Maria uliopo Dubai

Msikiti unaitwa " Maria Mama wa Yesu" na unapatikana Dubai...


Wakristu na waislamu huwaga ni wale wale..

Ndio maana akina Yericko Nyerere wameona warudi zao kwenye dini za asili za kumuomba Mungu kupitia mababu.

As for me,.I shall go with my traditional ancestral veneration.

Sifuati dini ya Mzungu wala ya mwarabu.

View attachment 2724538
sasa ubaya uko wapi hapo.Hivi hujui kuwa dini za Uislam na Ukristo zinaitwa dini za Ibrahim.Yaani wote chimbuko lao ni baba yao Ibrahim? Tofauti ilianzia kwa Isaka na Ismail?.
Hivi unajua waislam wanatambua YESU alizaliwa na Mariam na ndio maana anaitwa Issa bin Mariam na wala sio Issa bin Yusuf?
Hivi unajua waislam wanatambua YESU alizaliwa kwa uwezo mama yake aliopewa na mungu na sio kwamba Yusuf alimjua Maria akapata mtoto?.
Usichanganye mafaili dini zote ni ndugu moja.
Kumtaja Mariam sio dhambi
Hivi unajua Jerusalem kuna msikiti wa waislam unaitwa Al aksa?
 
sasa ubaya uko wapi hapo.Hivi hujui kuwa dini za Uislam na Ukristo zinaitwa dini za Ibrahim.Yaani wote chimbuko lao ni baba yao Ibrahim? Tofauti ilianzia kwa Isaka na Ismail?.
Hivi unajua waislam wanatambua YESU alizaliwa na Mariam na ndio maana anaitwa Issa bin Mariam na wala sio Issa bin Yusuf?
Hivi unajua waislam wanatambua YESU alizaliwa kwa uwezo mama yake aliopewa na mungu na sio kwamba Yusuf alimjua Maria akapata mtoto?.
Usichanganye mafaili dini zote ni ndugu moja.
Kumtaja Mariam sio dhambi
Hivi unajua Jerusalem kuna msikiti wa waislam unaitwa Al aksa?
Mkuu anamfundisha samaki kuogelea. Mimi muislamu nayajua yote hayo kuliko unavyo jua wewe
 
Back
Top Bottom