Hussein Pambakali kizimbani kwa utapeli wa 75ml

Hussein Pambakali kizimbani kwa utapeli wa 75ml

Ndio maana maduka yake yana SALE[emoji28][emoji28]
 
Ww Uko mbali huko nguo za Husein ulijuaje ni fake??
Tuacheni wivu wa maendeleo!! 80m Deni dogo Sana na linalipika

We mdogo wangu wewe......hayo maneno niliyopigia mstari..kama kweli unamaanisha.....Mungu anakuona!
 
Hilo ni deni dogo?

Mbona anadaiwa sasa...si alilipe kama ni dogo.

Pamba zenyewe feki feki feki.
Naona pesa itakua kaekeza kwenye lile duka pale tegeta na biashara mtaa ule imekua kichaa
 
Umemmaliza...Ngoja asote huko lupango labda ndo panamfaa
Hyo ni kesi ya madai, si jinai, elewa kwanza...jinai unashitakiwa na jamuhuri na moja kati ya lengo kuu la kuwekwa mahabusu ni kwaajili ya upelelezi. Kwenye madai ukitaka umfunge mtu, wewe ndio utalipia, ama kuwe na mazingira ya kisheria ila si hayo matakwa yako tu. Jifunze sheria
 
Elimu elimu elimu ivi kuna watu hawajui kwa nn mahakama zipo leo hata nikienda kushtaki umebaka pasipo kukujua wala kukuona utakamatwa na kesi itasikilizwa utajitetea ukionekana huna hatia utaachiwa huru hapo unaweza fungua kesi ya kuzalilishwa na gharama za kesi ukalipwa na mm kufungwa au kukulipa
 
Hyo ni kesi ya madai, si jinai, elewa kwanza...jinai unashitakiwa na jamuhuri na moja kati ya lengo kuu la kuwekwa mahabusu ni kwaajili ya upelelezi. Kwenye madai ukitaka umfunge mtu, wewe ndio utalipia, ama kuwe na mazingira ya kisheria ila si hayo matakwa yako tu. Jifunze sheria
Ni kweli, ni kesi ya madai, kesi kama hizi mtu huwa hawekwi mahabusu, na hata hukumu inapotoka huwa hakuna kufungwa labda kama mdai aliiomba mahakama na mahakama ikaridhika kwamba mtu huyu anatakiwa kufungqa ili apate fundisho, na akifungwa mdai lazima amlipie mfungwa wake.

Yote kwa yote kitendo cha kushitakiwa na kuwekwa kwa media ni kukushushia credibility yake, nani atamkopesha tena kama public imeshalearn kuwa huyu ni tapeli?

Dawa ya deni kulipa bila kujali udogo wake
 
Sasa Pambakali angezipata wapi wakati shule kaogopa umande na kazi hapendi kutoka jasho! utaalamu wake upo mdomoni! Leo kashikwa utapeli, subiri kesho ni ugoni. Mdomo wake mwepesi kutongoza!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji115]
 
Tatizo kubwa la vijana ni wivu wa maendeleo.. Yaani hampendi kuona mtu anafanikiwa. Sasa aliekuambia ataenda lupango kwa ajili ya 75m ni nani?

Pili, umeambiwa kesi imeenda mahakamani Leo, Hata Husein mwenyewe hakuepo, huenda hata madai yenyewe ni fake,lengo kuchafuana tu. Subiri mahakama iamue Ndo uzungumze kitu
Huyo anaemdai ningependa sana mahakama imuombe kujua....hiyo 80milion aliipata wapi...na alilipa kodi kiasi gani...yawezekana mshtaki ni mwizi wa mapato
 
ukweli mchungu ila ndo hivo bongo huku zetu feki tu..last week nimenunua polo shirt 15,000 tu haha sasa angalia yule farasi ana miguu mitatu cjui hah....
unakuta mtu anakwambia nike air max original hii uliza bei 80,000 haha
...uliza vans og unaambiwa 20,000....watu ambao hawajawai ona original brands hawaoni tofauti yoyote
I like polo shirts and t-shirts.... Nitafanya uchunguzi kama ni farasi wa miguu mitatu aka polo kibajaj.... Nawarudishia zigo lao waongeze miguu au warudishe visenti vyangu vya madafu..... Kwa pesa ngumu ya magu tusitaniane babangu.
 
Huyo anaemdai ningependa sana mahakama imuombe kujua....hiyo 80milion aliipata wapi...na alilipa kodi kiasi gani...yawezekana mshtaki ni mwizi wa mapato

Ha Ha Ha haaaa... Mbwa Kala mbwa. Hii hatari sana
 
Huyu jamaa sijui alifikiria nn kwenda kuchimbia pesa pale tegeta...duka zuri katika wrong place...i bet hata J-hustler pale mwenge anauza kuliko huyo pamba kali wa tegeta
 
Back
Top Bottom