Hussein Pambakali kizimbani kwa utapeli wa 75ml

Hussein Pambakali kizimbani kwa utapeli wa 75ml

Nguo zenyewe feki feki tu.

Lakini ndo saizi ya wala vumbi hiyo...feki feki feki.
Mkuu pamba zako Una shop wapi? Woolworth au Edgars?naskia Kule USA baby Kuna sehemu Kuna machinga complex eti Ni kweli?pamba feki feki,
 
Mkuu pamba zako Una shop wapi? Woolworth au Edgars?naskia Kule USA baby Kuna sehemu Kuna machinga complex eti Ni kweli?pamba feki feki,
1480962060090.jpg
1480962076411.jpg


Umeuliza na shop wapi....nadhani picha zinajieleza.

USA baby [emoji631] [emoji631] [emoji631] [emoji385] [emoji385] [emoji385]
 
Wangapi washafunguliwa mashtaka mahakamani na hata kwenda mahabusu miaka kadhaa lakini hukumu inatoka wanakutwa hawana hatia?

Fanya kazi, kua mbunifu ili na wewe upate mafanikio, wivu wa namna hii utazidi kuumiza Moyo wako tu.

Mcpoangalia mtaendelea kulishia wazungu mbwa wao Milele mwishowe mrudi nchini mmezeeka na mifuko mitupu Kama Lemutuz
Kwa hiyo Pamba Kali kafunguliwa tu mashtaka bila sababu eeh...
 
Nguo zenyewe feki feki tu.

Lakini ndo saizi ya wala vumbi hiyo...feki feki feki.
ukweli mchungu ila ndo hivo bongo huku zetu feki tu..last week nimenunua polo shirt 15,000 tu haha sasa angalia yule farasi ana miguu mitatu cjui hah....
unakuta mtu anakwambia nike air max original hii uliza bei 80,000 haha
...uliza vans og unaambiwa 20,000....watu ambao hawajawai ona original brands hawaoni tofauti yoyote
 
Wakina manji wanadaiwa mlns of $ na wapo bado....
Kama Hussein anadaiwa na anaye mdai kampeleka mahakamani atamlipa Kwa makubakubaliano wakataye kubaliana Ktk kulipana.....

OVA
 
hivi robby one si "nasiaga" muuza bwimbwi....kwamba biashara ya kuuza nguo ambazo nyingi ni midosho ya kichina anazuga tu?.
 
Wangapi washafunguliwa mashtaka mahakamani na hata kwenda mahabusu miaka kadhaa lakini hukumu inatoka wanakutwa hawana hatia?

Fanya kazi, kua mbunifu ili na wewe upate mafanikio, wivu wa namna hii utazidi kuumiza Moyo wako tu.

Mcpoangalia mtaendelea kulishia wazungu mbwa wao Milele mwishowe mrudi nchini mmezeeka na mifuko mitupu Kama Lemutuz
[emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji22]emoji22[emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31]
 
Labda unabishana na mke wake mkuu.!

Tatizo la wajinga ni kusapoti kila ujinga bila kupima hata aina ya ujinga wenyewe.
Huyu anasemaga Yupo USA hizo nguo za Husein alivaa lini?
Hawa ndio Walisha mbwa Ulaya, mmejawa na miwivu. Fanyeni kazi wanaume la sivyo pumzi zetu zitaendelea kua visogoni mwenu
 
Huyo jamaa ni wa wapi?
Hili jukwaa la kimataifa,nashangaa mtu anakurupuka amaleta majina ya watu wa uswahilini kwao,Sasa huyo unayemtaja yupo na biashara gani kama Mengi,Bharesa,Manji,Mo, Mafuriki,Davis Mosha etc,Nahisi mleta uzi ni hawa Form 4 wanasubiri matokeo
 
Back
Top Bottom