Hussein Pamba Kali anauza nguo tu?


maduka mengi ya nguo pale kinondoni studio kona ya kwenda mwananyamala wanauza zaidi ya nguo,maidi azan wengi wapo pale ila km ni mjinga mjinga huwezi kugundua lolote pale.
 

Ungejua hawa wauza unga wanavyoaribu jamii usingesema hayo maneno,hakuna mtu anayefatilia maisha ya mtu kiubaya,wangapi wanafanya biashara zao zisizo na shaka hapa town? yaani kuuza nguo za kupata wateja sikukuu mpaka sikukuu ndio uwe tajiri?
 
Last edited by a moderator:
Ungejua hawa wauza unga wanavyoaribu jamii usingesema hayo maneno,hakuna mtu anayefatilia maisha ya mtu kiubaya,wangapi wanafanya biashara zao zisizo na shaka hapa town? yaani kuuza nguo za kupata wateja sikukuu mpaka sikukuu ndio uwe tajiri?

Ni kweli.
Ila binafsi na suggest tusihukumu mapema, afatiliwe kama mafanikio yake yana uwiano na anachofanya i.e. kodi anayolipa au kama ni mtu wa kuchukua mikopo....maana mtu unaweza kutanua biashara yako ikawa kubwa tu kwa kutumia mikopo/kuingia ubia na wadau kadhaa i.e. suppliers, property owners etc utajuaje. Otherwise sishtushwi sanaaa na mambo anayofanya.
 
Ungejua hawa wauza unga wanavyoaribu jamii usingesema hayo maneno,hakuna mtu anayefatilia maisha ya mtu kiubaya,wangapi wanafanya biashara zao zisizo na shaka hapa town? yaani kuuza nguo za kupata wateja sikukuu mpaka sikukuu ndio uwe tajiri?
Biashara ya nguo inalipa sana..na kama hujui ilikuwa moja vyanzo vikuu vya biashara ya watumwa huko America na ni kwa sasa ni moja ya waajiri wakubwa wa wahamiaji haramu.
 
Pole sana
 
Ungejiuliza ameanza muda gani hio biashara hata asiweze kupata huo "utajiri" unaouzungumza.
 
Asikwambie mtu biashara ya ngada inalipa sana, Sema sijapata fursa..............
Watoto wadogo wa juzi wametoka kimaisha huku mitaa ya magomeni...........
High risk high income........
Still interested?
 
ile list ya Makonda imetengenezwa kwa kutumia hisia za watu kutoka huko mtaani kama huyu aliyeanzisha hii thread.

watu wanamuona jamaa fulani mtaani mambo yake yapo vizuri....wanaanza oh mwizi, fisadi, drug dealer, etc.

hata Makonda mwenyewe katajwa, tena ndani ya bunge. so, hana tofauti na akina Hussein Pamba Kali kama kigezo ni hisia tu.
 
Jishi la polisi linafanya kazi kwa hisia????kweli??kama maslahi yako yameguswa atleast have some respect kwa jesh letu
 
Jishi la polisi linafanya kazi kwa hisia????kweli??kama maslahi yako yameguswa atleast have some respect kwa jesh letu
 
Biashara ya nguo inalipa sana..na kama hujui ilikuwa moja vyanzo vikuu vya biashara ya watumwa huko America na ni kwa sasa ni moja ya waajiri wakubwa wa wahamiaji haramu.
Biashara ni Biashara tu kiongozi,Ukweli Wauza Nguo % Kubwa yao ni wauza Poda,Hiyo ni Gear tu ya kusafiri,We unasafiri bila na bizness si utastukiwa? Ndio maana wanazuga na maduka ya nguo,Wapi Zizzou? Mbona Amefirisika kama Biashara ya nguo inamlipa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…