Awamu ijayo atapachikwa Kusheku a.k.a Msukuma au yule waziri kichaa (mpi ma samaki wa kantini kwa rula) kuwa rais wa ZanzibarCCM wakimtaka wanaweza kumpachika Uzanzibari hata Serukamba na kuwa Rais wa Zanzibar
Yakhe usitutishe siyeee. Hatutaki kuwa koloni la bara.Subiri mvunjwe miguu. Ile ya Mkapa itakuwa cha mtoto.
Kwa taarifa yako maeneo zinakoanzia vurugu wakati wa uchaguzi Zanzibar yanajulikana na kazi ya kuwazima ilashafanywa kitambo sana.
Yakhe usitutishe siyeee. Hatutaki kuwa koloni la bara.
Una habari kwamba kwa Mwinyi ni Zanzibar na wana ardhi kubwa sana Zanzibar? Kama sio wazanzibari imekuwa je wakamiliki hayo maeneo?Sheria ya Zanzibar inamzuia mbara kuwa mgombea au mpiga kura. Na mzanzibar awe ameishi mfululizo angalau miaka 5. Jamaa alikuwa mbunge wa mkuranga. Hana haki za kuwa mpiga au mpigiwa kura zanzibar.
Hili si moja ya mambo ya kuungano. Kuna ZEC na NEC!!
chinembe,
Sheria ya Zanzibar inamzuia mbara kuwa mgombea au mpiga kura. Na mzanzibar awe ameishi mfululizo angalau miaka 5. Jamaa alikuwa mbunge wa mkuranga. Hana haki za kuwa mpiga au mpigiwa kura Zanzibar.
Hili si moja ya mambo ya kuungano. Kuna ZEC na NEC!
Duuh Mana machotara wengi,wako wa Kipare na Kisambaa,Kipare na Kisomali Kama Ndugu Karia wa TFF.
Vinafananaje Sasa?!!Akimaliza ngwe yake, wanampeleka Bashite akawe Rais wa Zanzibar. Unyama unyama tu hapa
Hodiiiii
Wahafidhina Wa Zanzibar Wafikie Mwisho Wa Malumbano Ya Watu Wa Mrima na watu Wa Marashi ya Karafuu.
Kiasili Kisiwani Hakukai Watu.
Wengi wa Wakazi Wa Visiwani Ni wahamiaji.
Kwa Mfano Angalia Pale Malagasy(Madagascar).
Watu toka Visiwa Vya Mashariki Ya Mbali, Kule Malaysia,mpaka Indonesia walihamia MADAGASCAR wakakutana na wahamiaji wenzao kutoka Tanganyika na Msumbiji,wakaoleana na KUZAANA.
Hoja ya Ajabu Kabisa, Ni pale WAHAFIDHINA wanapozodoana kwa kuwahalalisha Wahamiaji Walioingia Zenji Vipindi Virefu kuwapita wengine.
Kwani Wako Waliohamia karne ya 11,13 kutoka kuitwako KUNDUCHI ya Dar es salaam na kufikia pale MAKUNDUCHI ya mwakakogwa.....
Ukija Kwa Mzee wetu Ali Hassan Mwinyi,Ni mwendelezo uleule wa Uhamiaji.Sasa utamzodoa Mzee Mwinyi kuwa ana uwalakini kwa kuwa Ni mzanzibari kisa tu alihamia kule miaka ya 30 mwanzoni na SI karne ya 17?!
Hapohapo mama mzazi wa Dr.Hussein inamyukinika kizazi CHAKE Ni Cha kule toka karne ya 15....Sasa MHAFIDHINA anapataje nguvu za kutoa KEDI kwa Dr.Hussein?!
Kama ndivyo,Wamarekani wasingeweza kumchagua OBAMA mtoto ambaye baba yake aliingia US 50s Kama sijakosea,huku mama yake akiwa mhamiaji wa Muda mrefu,Sembuse Mwafrika mwenzetu ambaye asili ya baba zake Ni MKURANGA,pua na Mdomo na Zanzibar?!
Wahafidhina waache KUJICHANGANYA mbona Mambo yenyewe ni mepesi tu pale wakiamua kuweka CHUKI KOKO pembeni?!
Ligha ya KISIASA TU.Wenzio.wanazungumzia UZAMIAJI wewe unazungumzia UHAMIAJI
Ligha ya KISIASA TU.
Ngoma Ngumu Kwa ACT Sasa wanatafuta VISINGIZIO.
Japo Mimi SI support CHADEMA,hivi itokee NEC waseme TUNDU LISSU Hana sifa za kugombea URAIS; je, havitakuwa Ni VISINGIZIO KOKO vyenye msukumo wa hovyo?!
Je, NEC wataeleweka na Watu wenye kupenda MANTIKI ZA HOJA.
Karibu tuumwe na Mbu, hapa Getini kwa Boss Wangu Mhindi Mikocheni A!!
Karibu Kisiwandui Hapo Novemba Tusherehekee Ushindi Wa Dr. Mwinyi aaamin...😁😁😁Mi nimekosoa lugha tu hao kina lisu watajijua wenyewe
Subiri mvunjwe miguu. Ile ya Mkapa itakuwa cha mtoto.
Kwa taarifa yako maeneo zinakoanzia vurugu wakati wa uchaguzi Zanzibar yanajulikana na kazi ya kuwazima ilashafanywa kitambo sana.
Kama hauko kwenye ngazi ya juu serikalini huwezi jua kuwa Mishahara yote ya SMZ inalipwa na Tanganyika. Ndio maana mtaendelea kuwa koloni tu.