Husninyo Pokea Proposal

Husninyo Pokea Proposal

nimeshakoma erick52, ila huyu uporoto atakuwa kalogwa tu, unamuachaje leo mke kesho anachumbiwa na we bado hushtuki?

ashtuke nini wakati kashamuacha? Nitakunyima kadi wewe.
 
i love you canta lile pochi jekundu ntakuletea kesho
Baby welcome here nikupe summary wala usisumbuke kusoma pages hizi 34,pages 28 ni pumba za erick,mtei,kongosho na sweetlady,Judgement kamtokea Husninyo naye kakubali,mimi nikathibitisha kuachana kwa amani na kuwapa e-mail yangu mpya mjadala ukaisha kinachoendelea ni chatter yaani kuongea nothing important a.k.a kelele.


uporoto@kabakabana.mtotomzuri.com
 
tunahitaji uwepo wenu tu lawyer. Mi na mme wangu tutagharamia kila kitu.
Happy for u 2. Nitakuja na kikundi kizima cha mnanda wa tandale, hakikisha Judgement anaweka kilo za kabohydrate za kutosha jikoni
 
Baby welcome here nikupe summary wala usisumbuke kusoma pages hizi 34,pages 28 ni pumba za erick,mtei,kongosho na sweetlady,Judgement kamtokea Husninyo naye kakubali,mimi nikathibitisha kuachana kwa amani na kuwapa e-mail yangu mpya mjadala ukaisha kinachoendelea ni chatter yaani kuongea nothing important a.k.a kelele.


uporoto@kabakabana.mtotomzuri.com

hahahahaha
 
Wasiliana na Cantalisia. Ye ndo mwenyekt wa kamat ya burudani.
Hii shuhuli tusipokuwa makini itaharibika. Cantalisia ana ka ujauzito halaf anapewa uwenyekiti?. Je akijakupatwa na kichef chef cha ghafla akamtemea mate bihalusi?
 
wewe tulishakusamehe na kadi utapata. Huyo mtei ndio apeleke sura yake kwenye tundu la choo.

angalau sasa napumua vizuri, kweli ushakunaku noumer, sirudii tena kudandia gari kwa mbele!
 
...Serikali ya Isiopia imejitolea kuisaidia serikali ya Tanzania wataalamu wasiopungua sita wa kilimo cha malimao - Source: Mkimbizi wa isiopia
Hahaha! serikali ya Marekani imeamua kutusaidia kilimo cha pamba kwa kuwa pamba yetu ikifika nje ni ya kahawia na imejaa mchanga,sasa hawajui wakulima huongeza mchanga walipwe hela nzuri zaidi hawajui wanaharibu ubora,tunahitaji maombi kwa kweli. source: dailynews.
 
Back
Top Bottom