Husninyo Pokea Proposal

Husninyo Pokea Proposal

Nawe pia ubarikiwe my dear. Nakusihi uzdi kumwombea pamoja na kuvunja kila hila za mwovu shetani.
Yeah! Namwombea sana asee and naamini Mungu ataenda kujibu maombi kwa kumfanya mwenye afya kama zamani!
 
Nyie wapenzi mpumzike sasa. Tuwatangazia siku ya ndoa.
 
Uporoto wrote: Nasikitishwa sana na kauli za
kumchafua Husninyo nazozisoma
hapa,napenda kuwajulisha kuwa
tumeachana kwa amani na Husninyo
sio mapepe wala hana sifa mbaya
zote mnazoziorodhesha hapa na muda wote niliyokuwa nae alikuwa
na mapenzi ya dhati
kwangu.Nawatakia kila la heri na
judgement wake,judgement hana
kosa kaona nafasi na kuchukua
uamuzi wa haraka kama mwanaume rlijali na inawezekana mnaotoa
maneno machafu mnachelea
kupigwa bao jaribuni sehemu ingine
mbona wako wengi tu humu ndani
kuweni wabunifu tu.
 
Back
Top Bottom