Husninyo Pokea Proposal

Husninyo Pokea Proposal

nimeshakoma erick52, ila huyu uporoto atakuwa kalogwa tu, unamuachaje leo mke kesho anachumbiwa na we bado hushtuki?
Teh kwa hiyo unamaanisha Uporoto ni mzigo kwa jamii??
 
Hahaha! serikali ya Marekani imeamua kutusaidia kilimo cha pamba kwa kuwa pamba yetu ikifika nje ni ya kahawia na imejaa mchanga,sasa hawajui wakulima huongeza mchanga walipwe hela nzuri zaidi hawajui wanaharibu ubora,tunahitaji maombi kwa kweli. source: dailynews.
kamanda siku hizi unasoma dailynews kumbe? Dah! kweli CV umeliupgrade lol
 
...nani anipe summary kuanzia page 24-34...doooh!nilikua kwenye ibada za vikundi...summary plz!
 
Baby welcome here nikupe summary wala usisumbuke kusoma pages hizi 34,pages 28 ni pumba za erick,mtei,kongosho na sweetlady,Judgement kamtokea Husninyo naye kakubali,mimi nikathibitisha kuachana kwa amani na kuwapa e-mail yangu mpya mjadala ukaisha kinachoendelea ni chatter yaani kuongea nothing important a.k.a kelele.


uporoto@kabakabana.mtotomzuri.com
Khaaa! Kweli pasiwedi imeibwa...
 
...nani anipe summary kuanzia page 24-34...doooh!nilikua kwenye ibada za vikundi...summary plz!

pitia kidogo kidogo mkuu ila ki upupi ni kwamba tayari mtoto Amyner yupo mikononi mwangu.
 
Baby welcome here nikupe summary wala usisumbuke kusoma pages hizi 34,pages 28 ni pumba za erick,mtei,kongosho na sweetlady,Judgement kamtokea Husninyo naye kakubali,mimi nikathibitisha kuachana kwa amani na kuwapa e-mail yangu mpya mjadala ukaisha kinachoendelea ni chatter yaani kuongea nothing important a.k.a kelele.


uporoto@kabakabana.mtotomzuri.com

thanx baby ndo maana nimeacha macho yashaniuma
 
Hahaha! Kabakabana kaapa nikifa kabla yake atakuwa mjane mpaka muda wake ufike nami pia mimeapa hivyo,mtasubiri sana hapa no vacancy lol!

Akimaliza eda tu watu wanachukua mzigo. Nina wasiwasi na Erick kuwa ndo huwa anakusaidia.
 
Back
Top Bottom