Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,987
- 24,226
Hahahaaa ila wewe huna tatizo....mziki ni Kabakabana na Husninyo....
Kwanza Kaby akija hapa akakuta Husny yuko in love na Judgement lazma nayeye atamtaka Judgement na lazma atamchukua km alivyofanya kwa Uporoto hadi wakaachana na Husninyo
Samahani sirudii tena!toka lini umekuwa mwandishi wa habari swahiba?
Unajua mimi nikifanya press confrens lazima nivae suti sasa wewe unanishtukizia tu bana.Hehehe!
Lawyer umechukuliaje suala la uporoto kumbwaga husni hazarani? Toa maoni yako!
hehehe!naona umesahau km uporoto ndio alianza kwa kumtokea kabakabana tena na husni akiwepo,mapepe huwa hawaolewi lkn sie kwetu kila cku ndoa tu tena na wanaume kwa ukweli!achen majungu wenzenu weshapendana nyie huku mijasho inawatoka kutia fitna wataona tu na mpaka mtashangaa!hv ww bado mjane tu mpaka leo?
Okey lawyer!...Unajua mimi nikifanya press confrens lazima nivae suti sasa wewe unanishtukizia tu bana.
Mimi nalichukulia kwamba pasiwedi ya Uporoto iliibiwa na mtu wa cafe, unajua uporoto akilog in cafe halaf anasahau kulog out.
Nekst time unihoji kwa kiingereza. Okay?
Wakati tunasherehekea hili harusi, sio vibaya tukapata habari za hapa na pale.
Serikali ya Isiopia imejitolea kuisaidia serikali ya Tanzania wataalamu wasiopungua sita wa kilimo cha malimao - Source: Mkimbizi wa isiopia
hii harusi inafanyikia wapi jamani?
Hahahaha! Malimao tena???Wakati tunasherehekea hili harusi, sio vibaya tukapata habari za hapa na pale.
Serikali ya Isiopia imejitolea kuisaidia serikali ya Tanzania wataalamu wasiopungua sita wa kilimo cha malimao - Source: Mkimbizi wa isiopia
Kama ndo huyu ninaemfikiria basi anajua pa kunipata. Nilete kiasi gani cha mchango wangu wa halusi? lolkuna mtu anakutafuta.
Toa mchango kama lawyer maarufu wa jf...Kama ndo huyu ninaemfikiria basi anajua pa kunipata. Nilete kiasi gani cha mchango wangu wa halusi? lol
Yep! baada ya mgomo wa madaktari, serikali yetu imejifunza kuwekeza zaidi kwenye dawa asili. Malimao inasemekana yanatibu mpaka gonorea, mzizimkavu atasibitisha hiiHahahaha! Malimao tena???
Maisha Mazuri Ukiwa na Afya Njema
Kama ndo huyu ninaemfikiria basi anajua pa kunipata. Nilete kiasi gani cha mchango wangu wa halusi? lol
Maisha Mazuri Ukiwa na Afya Njema
Halaf biharusi inabidi atoe rushwa kwa lawyer ili ndoa idumu kwa sheria za kiserikali. Hapa niko serious kabisaToa mchango kama lawyer maarufu wa jf...
Hahaha! Lawyer nikipaliwa nakushtaki...lol.Yep! baada ya mgomo wa madaktari, serikali yetu imejifunza kuwekeza zaidi kwenye dawa asili. Malimao inasemekana yanatibu mpaka gonorea, mzizimkavu atasibitisha hii
ndo ukome sasa maana na wewe umezidi ushakunaku lol