Husninyo Pokea Proposal

Husninyo Pokea Proposal

Hahahaaa ila wewe huna tatizo....mziki ni Kabakabana na Husninyo....
Kwanza Kaby akija hapa akakuta Husny yuko in love na Judgement lazma nayeye atamtaka Judgement na lazma atamchukua km alivyofanya kwa Uporoto hadi wakaachana na Husninyo

you are the one who started this now wait...
 
Hehehe!

Lawyer umechukuliaje suala la uporoto kumbwaga husni hazarani? Toa maoni yako!
Unajua mimi nikifanya press confrens lazima nivae suti sasa wewe unanishtukizia tu bana.
Mimi nalichukulia kwamba pasiwedi ya Uporoto iliibiwa na mtu wa cafe, unajua uporoto akilog in cafe halaf anasahau kulog out.

Nekst time unihoji kwa kiingereza. Okay?
 
hehehe!naona umesahau km uporoto ndio alianza kwa kumtokea kabakabana tena na husni akiwepo,mapepe huwa hawaolewi lkn sie kwetu kila cku ndoa tu tena na wanaume kwa ukweli!achen majungu wenzenu weshapendana nyie huku mijasho inawatoka kutia fitna wataona tu na mpaka mtashangaa!hv ww bado mjane tu mpaka leo?

i love you canta lile pochi jekundu ntakuletea kesho
 
Wakati tunasherehekea hili harusi, sio vibaya tukapata habari za hapa na pale.

Serikali ya Isiopia imejitolea kuisaidia serikali ya Tanzania wataalamu wasiopungua sita wa kilimo cha malimao - Source: Mkimbizi wa isiopia
 
Unajua mimi nikifanya press confrens lazima nivae suti sasa wewe unanishtukizia tu bana.
Mimi nalichukulia kwamba pasiwedi ya Uporoto iliibiwa na mtu wa cafe, unajua uporoto akilog in cafe halaf anasahau kulog out.

Nekst time unihoji kwa kiingereza. Okay?
Okey lawyer!...
 
Wakati tunasherehekea hili harusi, sio vibaya tukapata habari za hapa na pale.

Serikali ya Isiopia imejitolea kuisaidia serikali ya Tanzania wataalamu wasiopungua sita wa kilimo cha malimao - Source: Mkimbizi wa isiopia

kuna mtu anakutafuta.
 
Wakati tunasherehekea hili harusi, sio vibaya tukapata habari za hapa na pale.

Serikali ya Isiopia imejitolea kuisaidia serikali ya Tanzania wataalamu wasiopungua sita wa kilimo cha malimao - Source: Mkimbizi wa isiopia
Hahahaha! Malimao tena???
 
Yep! baada ya mgomo wa madaktari, serikali yetu imejifunza kuwekeza zaidi kwenye dawa asili. Malimao inasemekana yanatibu mpaka gonorea, mzizimkavu atasibitisha hii
Hahaha! Lawyer nikipaliwa nakushtaki...lol.
 
Back
Top Bottom