nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,349
- 3,904
thread imeenda mbali sana,hata siwezi kusoma!nimehusika kwenye nini tena bro?
Eti wewe umemdatisha uporoto ndio chanzo cha kumbwaga Husninyo, haya maneno kayasema Konnie
thread imeenda mbali sana,hata siwezi kusoma!nimehusika kwenye nini tena bro?
nani wa kuolewa hapa wifi?
Naambiwa hana tofauti na mwanzo, bado hasemi mtei, daaah! Mungu amponye jamani manake ana katoto kadogo sana...
sina pingamizi tena kuhusu ndoa ya husny na jg. Nawatakia kila la kheri ktk ndoda yao. Mi nltaka up atuhakikishie kuwa wameachana na husny.
Havee my blessings husninyo na judgement
Husninyo...
Na mimi ndo mwenyekiti wa kamati ya maandalizi
Inanihisu SL....
Halafu nilikuwa nimemmisss sana my small house Kaby lol
Kaja na gud nyt sijui Uporoto kamkamata sana leo maana hata haonekani kabisa
Ahsante sana swahiba, ongea na shemu asee ntashukuru sana kwa hako kamchango kenu kadogo....swahiba pole sana, pole mno. Ngoja niongee na husband tukuMPESA kamilioni.
Kwasababu mdogo wake kabakabana ndie anaetuhumiwa kuvunja ndoa ya husni na uporoto,
kama watumia laptop mkopie kaby ile email mpya ya uporoto uipaste hapa manake anapata uvivu kusoma...
me ndo nimeishiwa nguvu kabisa, kwani nilimtuhumu judge kumfitini husyn kwa uporoto kwa utata uliojitokeza, kumbe uporoto mwenyewe amekuja kutushushua hapa! Sijui uso wangu nitauweka wapi nikionana na judge & husyn? Judge naomba uniwie radhi kwa yale niliyoyaongea dhidi yako, mbarikiwe sana j&h
Amen dear!...Damu ya Mwokozi Yesu imponye. Lets all pray for her.
Eti wewe umemdatisha uporoto ndio chanzo cha kumbwaga Husninyo, haya maneno kayasema Konnie
Email mpya ya uporoto ujionee mwenyewe lol,wifi za kwako?? Anipestie nini tena?
Sio karibu kivile kongosho, natamani ningeweza kwenda sahizi.....ni mpaka kesho asubuhi.. Wamemchukua kumpeleka hospital jioni hii, nimeshtuka na kuogopa sana... Inaniuma!
Sante sana konnie.!.....
uporoto@kabakabana.mtotomzuri.comwifi za kwako?? Anipestie nini tena?
Nafurahi vile your good, nakumiss pia darling....I'm good sweety ninakumiss sana ninapokuwa mbali nawe
Husninyo...
Na mimi ndo mwenyekiti wa kamati ya maandalizi
wewe tulishakusamehe na kadi utapata. Huyo mtei ndio apeleke sura yake kwenye tundu la choo.
khaaa konny lazima atalalia misumari leo ngoja nimsake ODM mambo gani ya kuharibiana CV? Nimemkuta husy keshaachika jamani
Teh kwani utahidhuria?Acha ukuda wewe, nani kasema hatahudhuria??