Husninyo Pokea Proposal

Husninyo Pokea Proposal

bagah anajikula kidogo kidogo
huyu mtei kachora picha ya chips kuku
kaning'iniza ukutani
naona yeye inamfaa.

Hahahaha Erick ndo tabia yake. Jrani na anapoish wanauza ktmoto sa ye anashba harufu ya mdudu kmtndo.
 
hee, ni kile kijukuu kipya cha Mzee ODM
ndio kimevunja ndoa yao
uporoto kadata kwa Kabakabana

hasikii, haambiwi la mswalie mtume.

Sweetylady alinificha ndani sikuweza kutoka. Kitu gani kilimsibu Uporoto mpaka ikawa hivi au Husninyo sio mwaminifu?
 
Nina wasi wasi na judgement kuwa amemfitini husninyo kwa uporoto, haiwezekani hata kabla husninyo hajamaliza kusomba vyombo vyake kwa uporoto tayari huyu jamaa kisha chukua mali, tena kiubua namna hii, lazima kuna namnaaaaa! Uporoto umelizwaaaaaa!!
 
acha ale kuona..braza nae kazidi kuwa busy...ati lunch mida hii...mrembo kama Amy akae njaa mpaka sasa...
haya mtei na ww umemlisha nn bi dada wawa watu?hukawii kumnunulia mahindi yakuchemsha!

c busara kutangaza nlcho mnunulia.
 
hee, ni kile kijukuu kipya cha Mzee ODM
ndio kimevunja ndoa yao
uporoto kadata kwa Kabakabana

hasikii, haambiwi la mswalie mtume.

It can't be but nimegundua kitu hapa Husninyo alikuwa haeleweki kwa Uporoto ndio maana akaamua kumtema, halafu huyu Jugdement atakuwa anahusika sana
 
Back
Top Bottom