Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Kufuatia Uporoto kukuona wa kazi gani ! Mimi kwangu nakuchukulia kama "Mali Kipusa"
Husniy kwangu utakua Dhahabu .
Husniy utakua Tanzanite .
Hii ni OFFER maalumu kwako, njoo mammiy nikupe faraja , nikupe yale uliyokua ukiyakosa kwa Mwanaume mfupi . Yapo mengine nimeyaandika kule kwenye Sredi ya Uporoto ya jana yenye heading "Wanawake wanaotoroka kwao" unawezarejea ktk Sredi hiyo uchungulie.
Come'on Baby hutojuta kuja kipande hii ,
wadau mnaonitakia mema niuage usimbe hapa Jeief nawaomba vote to me !
Nipigieni debe kwa hiki kipussa
Sitegemei kama utaniumbua hadharani hivi kwa kuikataa Proposal yangu mchana kweupe .
NOTE : Mtu atema! Mtu adaka !
Husniy kwangu utakua Dhahabu .
Husniy utakua Tanzanite .
Hii ni OFFER maalumu kwako, njoo mammiy nikupe faraja , nikupe yale uliyokua ukiyakosa kwa Mwanaume mfupi . Yapo mengine nimeyaandika kule kwenye Sredi ya Uporoto ya jana yenye heading "Wanawake wanaotoroka kwao" unawezarejea ktk Sredi hiyo uchungulie.
Come'on Baby hutojuta kuja kipande hii ,
wadau mnaonitakia mema niuage usimbe hapa Jeief nawaomba vote to me !
Nipigieni debe kwa hiki kipussa
Sitegemei kama utaniumbua hadharani hivi kwa kuikataa Proposal yangu mchana kweupe .
NOTE : Mtu atema! Mtu adaka !