Pyaar
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 17,213
- 80,141
Ndio ila wanajali sana yan hakuna wanaume wanawafikia
Aisee niliwahi pendwa na commando, sema nikaogopa nisijegeuzwa kitenesi.
Ndio ila wanajali sana yan hakuna wanaume wanawafikia
Ila sasa siku tukimkamata mchepuko wako ataisoma namba aisee.Atajuta kuzaliwa na ataichukia hiyo siku mileleAsanteew sana naiman mtanipa mmeeee mwemaaa
Akirudi mchune usimuache hata mfupa maana dola itakua zinamuwasha.Mwenzio kuna mjeda yupo Sudan ananipigia video call kila sikuu
Akirud naweza kuolewa naye maana siyo kwa ahadi anazonipaaa
Akirudi mchune usimuache hata mfupa maana dola itakua zinamuwasha.Mwenzio kuna mjeda yupo Sudan ananipigia video call kila sikuu
Akirud naweza kuolewa naye maana siyo kwa ahadi anazonipaaa
Huyo atakuwa yupo kitengo cha Ngerengere katikati ya Chalinze na Moro wanakulaga bata hao .
[emoji2] [emoji2]Mwenzio kuna mjeda yupo Sudan ananipigia video call kila sikuu
Akirud naweza kuolewa naye maana siyo kwa ahadi anazonipaaa
Umri wako una range wapi aisee? Maana hata mimi naweza kuja kwako kusafisha rungu.Me nipo GomzNalitambua hilo haya chagua hapo handsome mmoja unayejua huyu anamfaa Demiss nipm hapo ajichukulie mukeeee
Haya mwenzetu umebahatikaYan achaaa tu ameshaniambia nibook hotel yenye hadhi ya nyota 5
we sio migambo sema mgamboVipi kuhusu sisi migambo wa jiji?
Iyo ruvu hiyoNjoo Huku 832 Kj Ujichagulie Binti