atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,552
- 9,806
Yaan ww ungekuwa my wife wangu lzm ningekupitisha hivi,huwezi kumsifia mwanaume mbele yanguOooh ila awe handsome alafu mweus kama handsome wangu ninayempendagaView attachment 706890
Yaan ww ungekuwa my wife wangu lzm ningekupitisha hivi,huwezi kumsifia mwanaume mbele yanguOooh ila awe handsome alafu mweus kama handsome wangu ninayempendagaView attachment 706890
Nature ya kazi hiyo inafanya muda mwingi wawe mbali na wenzi, kwahiyo wanakuwà na 'ukame' na ile kitu.Kabisaa wakipenda wamependa sijui huwa wanafundishwaaa
OyeeKiukweli mwanaume wa kweli kwangu ni mjeshi tu hawa watu ni balaaaa jamani kiiikuuubwaaa ni wasafiiiiii wanaume wengine mtanisamehe wanajeshi oyeee
[emoji16][emoji16] alikuzidi umri eeh?Niliwahi kuwa na mahusiano na mdada fulani hivi mwanajeshe wa kutoka Iringa jina kapuni yaani amri za kijeshi alizihamishia mpaka kwenye mapenzi ilinibidi niseme kwaheri . Nikang'atuka kimnya kimnya. Usije niambia eti mapenzi na mjeta eti huwa yananoga hapana maana hawajuwagi kudeka wala nini.
Hahaha, kwahiyo na kiringo ni mwanajeshi?Bila kusahau sifa yetu nyingine nikujuwa kuitumia no pendwa 0713 vizuri.
Handsome indeed bt with brown colour, I see u like black!Handsomeee
Handsomeee