Niliwahi kuwa na mahusiano na mdada fulani hivi mwanajeshe wa kutoka Iringa jina kapuni yaani amri za kijeshi alizihamishia mpaka kwenye mapenzi ilinibidi niseme kwaheri . Nikang'atuka kimnya kimnya. Usije niambia eti mapenzi na mjeta eti huwa yananoga hapana maana hawajuwagi kudeka wala nini.



wanadeka bhnAhsante sana.Sijambo kaka Ali.....
Naamini Allah anazidi kukutia nguvu baada tatizo lililokupata!! Pole sana lakini amini kila litupatalo ni mpango wake Allah....
Miss you more!!!
Umenifanya na mimi nitamani kuwa mjedaSubir mwanamke anayewapenda ajeeee
ni watamu hatari sio kama hawa chips yai, wajeda wana pumziYaani wanajeshi zile gwanda zao zinanihamasishaga nikiwaona ila wakinisogelea karibu. Napenda kuwadate tu ila sio mambo ya ndoa wala nini maana suala la kuzaa nae mara unasikia anaenda wapi sijui kwenye mission mi roho yangu ndogo naweza kufa. I wish kweli siku nijaribu mwanajeshi
Ushawahi jaribu?ni watamu hatari sio kama hawa chips yai, wajeda wana pumzi
mnapenda miteremko sana kwa hiyo sisi wanaume wa dar sio wanaume au
...wanaume wa dar mnasemwa sanaHahahaAiseee sio kwa bahati hii jaman
oyeeeeeeKiukweli mwanaume wa kweli kwangu ni mjeshi tu hawa watu ni balaaaa jamani kiiikuuubwaaa ni wasafiiiiii wanaume wengine mtanisamehe wanajeshi oyeee