Usjali mama lazima wapite hapaa umepataaaa kabisaaaaSeriously speaking mi napenda saana wanajeshi na nataman niolewe nao yani na nlipata rafk m1 wa hyo kada but kuna vtu vlzngua but kama yupo ambae anania kabsa mi napenda sana hao watu kutoka moyoni
Achaaa yani nawakunda kiukweli kabsa nlkua nacmamia uchaguz alikuja m1 had kaz nlyokua nafanya nkasahau nkabak namuangalia tu yeye!Usjali mama lazima wapite hapaa umepataaaa kabisaaaa
Yan mm nikipata handome la kijedaaa
Walllah nitamla kama hii chakula View attachment 706884
Ndg wapi nimevunja heshima na kudhalilisha wanajeshi?.... Niambie nipo tayari kuwaomba radhi wenzanguMkuu kuwa na heshima acha kudhalilisha wanajeshi empty set