Gentleman96
JF-Expert Member
- Mar 12, 2019
- 912
- 1,666
DHURUMA MALIPO YA KUANDIKISHA POST CODE ...............
(retweet hadi kwa waziri) Nasikitika kuandika kuhusu dhuruma iliofanyika Mbeya, zoezi la uandikishaji post code limefanyika Mkoa wa Mbeya na kwa wizi wa malipo kwa vijana waliofanya kazi.
..
Baada ya matangazo ya kazi hiyo kutoka vijana walichangamka na kupata deal kisha wakaingia mtaani kwenye mvua na jua, walijua watapata malipo siku ya mwisho wamepigwa njenje. Walitakiwa kulipwa 20k kwa siku na wamefanya siku 30. Hivyo 15×20= 300,000/= Lakini wamelipwa 240,000/=
(retweet hadi kwa waziri) Nasikitika kuandika kuhusu dhuruma iliofanyika Mbeya, zoezi la uandikishaji post code limefanyika Mkoa wa Mbeya na kwa wizi wa malipo kwa vijana waliofanya kazi.
..
Baada ya matangazo ya kazi hiyo kutoka vijana walichangamka na kupata deal kisha wakaingia mtaani kwenye mvua na jua, walijua watapata malipo siku ya mwisho wamepigwa njenje. Walitakiwa kulipwa 20k kwa siku na wamefanya siku 30. Hivyo 15×20= 300,000/= Lakini wamelipwa 240,000/=
WATU WAMEJUTA KUFANYA KAZI HIYO... HASA WILAYA YA MBARALI WATU WAMEDHURUMIWA... Naomba waziri CHUNGUZA WILAYA HIYO... RETWEET KWA AJILI YA FAIDA YA TAIFA LAKO