mukaruka mzee
JF-Expert Member
- Jan 22, 2020
- 970
- 483
Hawezi kuzielezea kwani waliopaswa kuzidai kesha watia MKWARA wamekimbia nchi, yaani akina Godbless, labda waibuke wale akina dada waliokuwa wabunge wa Viti Maalum waseme na kudai vinginevyo wameliwa!Kweli, Sasa Mbowe nae aeleze zile 8.9 billion mishahara ya wabunge alitumiaje.
Akina Halima na Easter hawawezi kuzidai kwani bado wanasubiri mizengwe ikamilike ndani ya uongozi wa CHADEMA ili wawe Wabunge wa Viti Maalum. Usidhani utani, HAKUNA LISILOWEZEKANA. Msubiri tu muone.