Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 16,494
- 41,663
Tanzania haina corona, sijui hizo hela wamefanyia nini.Bro Polepole tumesikia eti zile "USD Millioni 27" mlizopewa na EU (Umoja Wa Ulaya) za kupambana na Covid-19 mmenunulia zile Land Cruiser VX "61" za kijani mlizotumia kwenye kampeni?
Chenchi iliobakia mkanunulia risasi na mabomu mliotumia Zanzibar & Pemba na Mara???
Halafu huku JF wanasema wewe ukizeeka eti utakua mchawi/mwanga.