Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,397
- 4,739
Waambie wakukojoleshe ulale, Polepole aliyepandisha mchakato haramu/gulio la kununua viongozi wa upinzani eti wanaunga mkono juhudi,ndiyo tukapata akina Kitila Mkumbi,Katambi nk pamoja na wabunge covid 19,Hivi kuna mtanzania mzalendo kama Humphrey polepole?
Huyu jamaa ni mzalendo kweli wa nchi yake japo ni chama cha mapinduzi lakini ni mzalendo
Hawa ni aina ya ccm ya kina nyerere yaani wale wanaccm wenye uzalendo na utaifa na walobaki nchini
Kiukweli I declare interest kwamba namkubali pole pole sana
Hii nchi inahitaji kina Polepole kama 50 hivi
huyu alitakiwa awe waziri kabisa au mshauri wa rais
Kwa hizi hoja kuna wa kumpinga huyu Jamaa? Anzia dk ya 14 hapol's ?
MNAFIKI tu ,wajua uzalendo wewe, nenda Butiama angalau utaujua uzalendo japo hakuna binadam aliekamilikaHivi kuna mtanzania mzalendo kama Humphrey polepole?
Huyu jamaa ni mzalendo kweli wa nchi yake japo ni chama cha mapinduzi lakini ni mzalendo
Hawa ni aina ya ccm ya kina nyerere yaani wale wanaccm wenye uzalendo na utaifa na walobaki nchini
Kiukweli I declare interest kwamba namkubali pole pole sana
Hii nchi inahitaji kina Polepole kama 50 hivi
huyu alitakiwa awe waziri kabisa au mshauri wa rais
Kwa hizi hoja kuna wa kumpinga huyu Jamaa? Anzia dk ya 14 hapol's ?
Huyu huyu anayesema we unajua v 8 ?Kwani kufufua treni, na kujenga steglaz na kuwanyoosha kina acacia unadhan ni ushauri wa nani?
Hayo ya kwenu wenyewe huko CCM na tamaa zenu za ubunge wa vitu maalum. Na wewe na hiyo combination ya viruses uliobebeshwa hata ARV zitadunda na huku marinda walishakufumua sijui utaponea wapi, unasubiria tani sita za udongo tu.Usiniambie.?
Ulikubalije sasa si mngeenda kupima kwanza?
Na Mimi huwaza Kama wewe.Itoshe tu kusema kwamba huyu comrade Polepole no hazina iiliyobaki kizazi hiki yenye chemistry ya Unyerere na u Jpm!
Time Will tell.
Siku moja tutashuhudia akikagua gwaride la uapisho.
Ukivimba pusuka tuu!
Mshenzi sana..Uzalendo wa kuwaambukiza watu ukimwi makusudi. Ameumiza wadada wa CCM wengi akiwaahidi ubunge wa viti maalum. Nunda kabisa huyo
HahahahahahahahahahahahBH watu mna majibu hatari sanaaTuliza mshono usikute na wewe ameshakuambukiza vimelea kapime kwanza ndiyo urudi
Hivi ninyi watu mnalaana? Sasa unapinga kipi ktk aliyoyaongea?Pole pole yupi?? Yule wa tume ya jaji Warioba au huyu aliyefurushwa juzi huko lumumba??
Haya tuambie mzalendo ni nani? Mzee wa MIGA au gaidi aliyesema lazima tuchanjwe nchi nzima?Labda awe nzalendo, ila uzalendo kwa Polepole bado.
Sema tu anatumia akili ndogo tu kuwateka wale ambao hata hawana akili kabisa
Haya tuambie mzalendo ni nani? Mzee wa MIGA au gaidi aliyesema lazima tuchanjwe nchi nzima?
Na laaanaa pia imuangukie mama yako kwa kutuletea limsukule kama wewe pumbavu!!Adabu atakushikisha bibi yako
Hakuna uzalendo hapo,huo uzalendo ulikuwa wapi wakati JPM alipokuwa Madarakani?sasa hv analia Lia na kutoka povu kwa sababu lile kundi lake sukuma gang na wahunga mkono juhudi,wametolewa kwenye ulaji baada ya kichwa chao kufa.Hivi kuna Mtanzania mzalendo kama Humphrey polepole?
Huyu jamaa ni mzalendo kweli wa nchi yake japo ni chama cha mapinduzi lakini ni mzalendo
Hawa ni aina ya CCM ya kina Nyerere yaani wale wanaccm wenye uzalendo na utaifa na walobaki nchini
Kiukweli I declare interest kwamba namkubali Polepole sana
Hii nchi inahitaji kina Polepole kama 50 hivi
huyu alitakiwa awe Waziri kabisa au mshauri wa Rais
Kwa hizi hoja kuna wa kumpinga huyu Jamaa? Anzia dk ya 14 hapol's ?