Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,093
- 144,558
Bwana Humphrey Polepole, sasa tunataka kusikia maoni yako kuhusu huu ukopaji wa mikopo kutoka nje huku Zanzibar ikishirikishwa na kupata mgao.
Pamoja na mambo mengine,ulilaumu na kukosoa mawaziri kutosema lolote kuhusu kauli ya Mama kula kwa urefu wa kamba yake, na hapo hapo kumpiga kijembe Mama kwa kauli hiyo. Sasa tunataka kusikia kuhusu hili la Zanzibar kupata mkopo kupitia serikali ya Muungano.
Tunakusubiri ingawa na wewe ulishapoteza credibility.
Pamoja na mambo mengine,ulilaumu na kukosoa mawaziri kutosema lolote kuhusu kauli ya Mama kula kwa urefu wa kamba yake, na hapo hapo kumpiga kijembe Mama kwa kauli hiyo. Sasa tunataka kusikia kuhusu hili la Zanzibar kupata mkopo kupitia serikali ya Muungano.
Tunakusubiri ingawa na wewe ulishapoteza credibility.