Tanzania0001
JF-Expert Member
- Jul 4, 2024
- 228
- 469
Mpango ni mpango wa Mungu.
Sauti ikisikika kutoka DOCHIWELE, You Know 😂
Mpango ni mpango wa Mungu.
Mheshimiwa Balozi nikipata nauli nakuja kukupa hi hapo ubalozini,
Andaa Suti kabisa tusalimiane ukiwa tumevaa suti , ingae Kama ya Makatibu katibu wakuu fulan hivi
Aisee wanajukwaa Karibuni Moscow tupate vodka
Britanicca
Nipe Uzi nilipo andika kakata kambaChaka bado lipo; kule kusema jamaa ameshakata kamba!
Code imekuzidi uwezo, umewazia suti tu😅Kwani asipokuwa na suti itazuia nini nyinyi kukutana na kuongea? Kuvaa suti ni kasumba tu.
Mbona Elon Musk anaingia Oval Office akiwa casual but smart
Code za kazi gani humu? Hii ni free speech platform halafu mtu anatumia anonymous name bado anaandika kwa mafumbo!! InsaneCode imekuzidi uwezo, umewazia suti tu😅
Hapana, anaefaa kuwa rais ni yule wewe unampenda.Kwamba Kila mwenye mdomo unaotoa sauti kubwa anafaa kuwa Rais 😂😂
Tutamvalisha gwanda za khaki. Hapo nyumbu wote wataimba anafaa.Hv mnafikiri kila mtu anaweza kuwa Rais? Tuwe serious!
Una uhakika?Mpango ni mpango wa Mungu.
Zaidi ya uhakika.Una uhakika?
NamMzee wa Code ngumu
Suti atavaa kweli?
Natamani ila Kikwete na genge lake watakubali?Hakika CCM itapata mgombea mpya kabisa.
Jk si wakuaminika inawezekana press ya Pole Pole ina mkono wake.Natamani ila Kikwete na genge lake watakubali?
Mmmmmh HAPANA, HAPANA, HAPANA.Jk si wakuaminika inawezekana press ya Pole Pole ina mkono wake.
Muulize Lowasa anamjua jamaa vizuri sana, na kumbuka anavyompitisha bila kufuata utaratibu alisema labda litokee lingine.Mmmmmh HAPANA, HAPANA, HAPANA.