Hukumu hii naifananisha na hukumu iliyotolea na kamati cha ligi iliyoipa Azam FC ushindi huku refari akifutwa kuchezesha kabisa soka nikawa najiuliza sasa kama kosa ni la refa iweje Azam wapewe ushindi lakini jana haki imetendeka Game litarudiwa hata hii nina uhakika majaji wataweka pembeni unazi wao zidi ya CCM...Mahanga siyo mbunge....Walidai kuwa kuna ushahidi mwingine wa mashahidi wao ambao Jaji ama aliuruka au hakuupa uzito. Wakili Kibatala alisema wameamua kukata rufaa kupinga hukumu hiyo na kwamba leo wanawasilisha mahakamani taarifa ya kusudio hilo. Licha ya Jaji kusoma hukumu hiyo kwa Kiswahili, ilidhihirika kuwa bado kuna wafuasi wengine wa Chadema ambao waliielewa kinyume.
Walidai kuwa pamoja na Dk Mahanga kushinda, Jaji amewaamuru mdaiwa wa kwanza katika kesi hiyo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) na mdaiwa wa tatu, Msimamizi wa Uchaguzi (RO) walipe gharama za kesi. "Sasa kama Makongoro alishinda kihalali kwa nini awaamuru wengine walipe gharama za kesi? Hii si inadhihirisha kuwa walikiuka taratibu,?" alisikika mmoja wa wafuasi hao akihoji huku akiungwa mkono na wafuasi wengine.
Mwananchi
Katika kusoma habari hii kwenye magazeti amabayo yameainisha hukumu ya kesi ya uchaguzi Jimbo la Segerea kumpa ushindi Makongoro dhidi ya Mpendazone, utata ambao nimeuona katika gazeti Mwananchi ni hapa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Msimamizi wa Uchaguzi kulipa gharama za uchaguzi, ni dalili tosha kwamba kulikuwa na udhaifu wa utendaji ambao vyombo hivyo vimehusika, vinginevyo Mpendazone pekee aliyefungua kesi angebebesha mzigo huo.
Hukumu hii naifananisha na hukumu iliyotolea na kamati cha ligi iliyoipa Azam FC ushindi huku refari akifutwa kuchezesha kabisa soka nikawa najiuliza sasa kama kosa ni la refa iweje Azam wapewe ushindi lakini jana haki imetendeka Game litarudiwa hata hii nina uhakika majaji wataweka pembeni unazi wao zidi ya CCM...Mahanga siyo mbunge....
Ukweli ni kuwa tuwekeeni hukumu tuione!.
Walidai kuwa kuna ushahidi mwingine wa mashahidi wao ambao Jaji ama aliuruka au hakuupa uzito. Wakili Kibatala alisema wameamua kukata rufaa kupinga hukumu hiyo na kwamba leo wanawasilisha mahakamani taarifa ya kusudio hilo. Licha ya Jaji kusoma hukumu hiyo kwa Kiswahili, ilidhihirika kuwa bado kuna wafuasi wengine wa Chadema ambao waliielewa kinyume.
Walidai kuwa pamoja na Dk Mahanga kushinda, Jaji amewaamuru mdaiwa wa kwanza katika kesi hiyo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) na mdaiwa wa tatu, Msimamizi wa Uchaguzi (RO) walipe gharama za kesi. "Sasa kama Makongoro alishinda kihalali kwa nini awaamuru wengine walipe gharama za kesi? Hii si inadhihirisha kuwa walikiuka taratibu,?" alisikika mmoja wa wafuasi hao akihoji huku akiungwa mkono na wafuasi wengine.
Mwananchi
Ili kuwa na mjadala wenye tija kwa wale wenye uwelewa mdogo wa haya maswala ya sheria ni bora kungoja nakala ya hukumu ya kesi ya Mpendazoe ili kuona kilichojiri.Kwani inawezekana mwandishi wa Mwananchi hakusikia vizuri au amenukuu vibaya.