Hukumu ya Segerea Watanzania tumejifunza nini?

Kwa maoni yangu nadhani hakuna tulilojifunza na hatutakaa tujifunze kama Watanzania mfumo wao wa kufikiri utaendelea kuwa huu huu wa bora liende, kwa nini!!??

Kama kujifunza tulipaswa kujifunza kutoka kwenye kauli ya Jaji Mkuu mstaafu Augustino Ramadhani kwamba Mahakama haziko huru.

Kama hiyo haitoshi tangu nizaliwe kwa mara ya kwanza nilisikia Mahakama imekaa saa 8 za usiku na kutoa notice ya kuzuia mgomo wa Walimu.

Bado pamoja na Mtikila kushinda kesi ya mgombea binafsi Mahakama kuu lakini Serikali ikashikiza kupitia Mahakama ya Rufaa iliyoketi na Jopo la majaji 7 wakiongozwa na Jaji mkuu na hatimaye Majaji hawa wote 7 wakasalimu amri ili kulinda ugali wao wa uzeeni na teuzi mbalimbali baada kustaafu, mfano hai Jaji Augustino Ramadhani ameshapewa ulaji mpya tume ya katiba.

Kwahiyo all in all kama Jimbo la Ubungo ni strategic area ya hawa watawala litatenguliwa ila kinachoweza kusaidia inaonekana Arusha walikosea mipango yao maana CCM kuingia kwenye uchaguzi sasa hivi ni kwenda kujitafutia aibu tu.
Short & clear hatima ya Mnyika iko mikononi mwa Ikulu ya JK. Thats it.




  • user-online.png
    Matola

    23rd April 2012 11:49
    #44
    JF Premium Member Array


    Join Date : 18th October 2010
    Posts : 5,662
    Rep Power : 10354
    Likes Received2386
    Likes Given1742



    [h=2]
    icon1.png
    Re: Jimbo la Segerea: Nini CCM's Plan B?[/h]
    quote_icon.png
    By Ileje
    Acheni kuingilia uhuru wa mahakama. Kama Mahanga atashindwa kweli basi mahakama itakuwa imeshawishiwa na Mahanga atakuwa na haki ya kukata rufaa!



    Kesi ya Segerea wala haiitaji hata Jaji kuiamuwa iko open & clear na kwa hakika Makongoro mwenyewe analifahamu hili dhahiri shayiri na anakijuwa alichokifanya kwenye uchaguzi ule.

    Na kinachonikera zaidi baada ya Makongoro kugunduwa kwamba ameshaanguka Ubunge alichofanya ni ku sabotage matokeo ya kata zote alizoona kwamba alizidiwa sana na Mpendazoe, na madhara yake akaathiri mpaka matokeo ya udiwani kwamba hata wale madiwani wa CHADEMA walioshinda kwenye zile kata hawakutangazwa na matokeo yakaenda kubandikwa Anatouglo eti ni madiwani CCM ndio walishinda!! kwa sababu ya mpumbavu mmoja tu huyu Makongoro.

    Nitamchukia milele Makongoro kwa kosa hili alilotufanyia kwa sababu ya uroho wake wa madaraka
    :peep:



 
Kwa hiki kilichotokea katika hukumu ya Mahanga kuna haja ya kumpeleka mhalifu polisi au Mahakamani? Au ni nafuu tumcharaze viboko wenyewe ili ashike adabu na udanganyifu utapungua.
 
Wakuu hapo tumejua kuwa katiba yetu ni ya hovyo kuliko zote duniani na majaji wetu ni wajinga kupita wote duniani
 
Inanipa shida kuamini kama mahakama zetu zinatenda haki hasa pale ambapo mshitakiwa ni kiongozi wa serikali au mfanyabiashara mkubwa hata kama kuna ushahidi uliojitosheleza. Kwa hali hii 2015 tutakapomkamata mgombea au kada wa chama tawala (ccm) anakiuka sheria ya uchaguzi hatuna haja ya kumkabidhi kwa vyombo vya dola, tutamshughulikia wenyewe hata iwe fundisho kwa wengine wanaotarajia kulindwa na vyombo vya dola. Tutawahamasisha nguvu ya umma katika hili na hasa vijana, nawasilisha kwenu wakuu.

Kwa hiyo tujenge taifa lisilokuwa na utawala wa sheria au vipi? Hapa sikuelewi vizuri, yaani kwa vile serikali ya CCM imeshindwa kujenga utawala uneoheshimu sheria, basi na sisi wananchi tukubaliane na hali hiyo ya kuendesha maisha ya namna hiyo hiyo?
 
Inanipa shida kuamini kama mahakama zetu zinatenda haki hasa pale ambapo mshitakiwa ni kiongozi wa serikali au mfanyabiashara mkubwa hata kama kuna ushahidi uliojitosheleza. Kwa hali hii 2015 tutakapomkamata mgombea au kada wa chama tawala (ccm) anakiuka sheria ya uchaguzi hatuna haja ya kumkabidhi kwa vyombo vya dola, tutamshughulikia wenyewe hata iwe fundisho kwa wengine wanaotarajia kulindwa na vyombo vya dola. Tutawahamasisha nguvu ya umma katika hili na hasa vijana, nawasilisha kwenu wakuu.







Uamuzi wa mwingi wa majaji wetu ni wa kujishughulisha na matumbo yao!!

Wengi wao hana namna nyingine ya kuishi hivyo inabidi waendelee kujikomba tu kwa watawala!

Hii ni aibu, na labda wao hawajui watz wakoje siku hizi,....hawadanyiki wanajua kabisa majaji wetu dhaifu!


.........
 
nimejifunza kuwa kumbe mahakamani ni sehemu ya kupoteza muda tu....ni bora tungekuwa tunaendelea na mambo mengine kuliko kupoteza resources kwa kusikiliza na ku entertain mambo kama haya...pili nimejifunza kuwa kumbe ma jaji hawaheshimu taaluma yao na wanafanya maamuzi kumfurahisha yule aliyewateuwa....
 
Inanipa shida kuamini kama mahakama zetu zinatenda haki hasa pale ambapo mshitakiwa ni kiongozi wa serikali au mfanyabiashara mkubwa hata kama kuna ushahidi uliojitosheleza. Kwa hali hii 2015 tutakapomkamata mgombea au kada wa chama tawala (ccm) anakiuka sheria ya uchaguzi hatuna haja ya kumkabidhi kwa vyombo vya dola, tutamshughulikia wenyewe hata iwe fundisho kwa wengine wanaotarajia kulindwa na vyombo vya dola. Tutawahamasisha nguvu ya umma katika hili na hasa vijana, nawasilisha kwenu wakuu.


Fundisho:
Usitegemee taarifa za mwenendo wa kesi zinazoandikwa na magazeti kishabili na kwa kuandika ripoti za upande mmoja. Kumbuka magazeti yanafanya biashara na kwa bahati mbaya watanzania wengi hatuoendi kujitafutia taarifa kwa kusoma na tunategemea vichwa vya habari za magazeti.
 
Kwa hiyo tujenge taifa lisilokuwa na utawala wa sheria au vipi? Hapa sikuelewi vizuri, yaani kwa vile serikali ya CCM imeshindwa kujenga utawala uneoheshimu sheria, basi na sisi wananchi tukubaliane na hali hiyo ya kuendesha maisha ya namna hiyo hiyo?

Sivyo, ninachosema ni kwamba nini suluhu ya ukiukwaji wa sheria unaofanywa na watu wenye nafasi za kifedha na utawala? Maana hata kama tukitoa ushahidi mahakama haituamini kutokana na nafasi ya mtuhumiwa. Je hii haitapelekea tuchukue hatua wenyewe hasa kosa linapotendwa na watu wa aina hiyo?
 
Nachojifunza kutokana na hukumu ya segerea ni kwamba mahakama ni chombo cha dola kama polisi na jeshi, sio mhimili wa taifa kama inavoandikwa. hivi unawambia nini mtoto anaposikia sheria hii inakutia hatiani na upande mwingine sheria fulani zinakutoa hatiani, kama sheria moja inapingwa na sheria nyingine, Je ni nani mwenye kutia na kutoa mtu hatiani??? sio sheria ni hakimu au jaji kwa matakwa yake; hapo ndo mikono wa serikali , rushwa vinaingia mahakamani kama mbu au chawa kichwani, hujui ni saa ngapi lakini zimeingia.

Mahakama kutokuwa huru ni aibu kubwa kwa majaji, wanasheria na mawakili; hivi mnafanya nini hapa duniani? historia itawasuta tu, ng'ombe akikonda aibu ni kwa mfugaji sio kwa ng'ombe.
 
Binafsi nilijifunza tokea Hukumu ya Arusha, haya mengine ni kama maigizo tu. UHURU WA MAHAKAMA TANZANIA HII UMEBAKWA, HAUPO!
 
Hawa majaji wamekuwa wachumia tumbo kupitiliza. Wanaidhalilisha professional yao sana, sijui wanachokiogopa ni kipi, ukishateuliwa jaji, rais haweze kumtengua judge from that post, unless amefanya professional misconduct, na sub committee ya majaji wa jumuia ya madola waka prove that. Lkn hawa majaji wamekuwa waoga mno, huwezi kuwatofautisha akili zao na mtu kama Nepi.
Wamesahau majukumu yao, wamebakia kuwa kama laba stampu ya wana ccm, kwa kweli ni aibu sana...
Justice in Kangaroo court!!!!
 



  • user-online.png
    Matola

    23rd April 2012 11:49
    #44
    JF Premium Member Array


    Join Date : 18th October 2010
    Posts : 5,662
    Rep Power : 10354
    Likes Received2386
    Likes Given1742



    icon1.png
    Re: Jimbo la Segerea: Nini CCM's Plan B?


    quote_icon.png
    By Ileje
    Acheni kuingilia uhuru wa mahakama. Kama Mahanga atashindwa kweli basi mahakama itakuwa imeshawishiwa na Mahanga atakuwa na haki ya kukata rufaa!



    Kesi ya Segerea wala haiitaji hata Jaji kuiamuwa iko open & clear na kwa hakika Makongoro mwenyewe analifahamu hili dhahiri shayiri na anakijuwa alichokifanya kwenye uchaguzi ule.

    Na kinachonikera zaidi baada ya Makongoro kugunduwa kwamba ameshaanguka Ubunge alichofanya ni ku sabotage matokeo ya kata zote alizoona kwamba alizidiwa sana na Mpendazoe, na madhara yake akaathiri mpaka matokeo ya udiwani kwamba hata wale madiwani wa CHADEMA walioshinda kwenye zile kata hawakutangazwa na matokeo yakaenda kubandikwa Anatouglo eti ni madiwani CCM ndio walishinda!! kwa sababu ya mpumbavu mmoja tu huyu Makongoro.

    Nitamchukia milele Makongoro kwa kosa hili alilotufanyia kwa sababu ya uroho wake wa madaraka
    :peep:



Sijui kama wewe ni mkazi kweli wa segerea au hapana. Kwa ujulisho wako mpendazoe alishinda kata zote alizokuwa na nguvu zaidi. Alishinda kata ya segerea, kimanga, tabata na kipawa. Hizo kata ambazo mpendazoe alizokuwa analalamikia mahakamani za buguruni, vingunguti na kiwalani siyo kata za chadema siku zote. Ni kata za ccm na cuf. Kwa ujulisho wako kata ya buguruni aliyekuwa wa pili ni mgombea wa cuf siyo mpendazoe. Kata ya vingunguti aliyekuwa wa pili ni mgombea wa cuf siyo mpendazoe, hivyo hivyo kata ya kiwalani. Kwa hiyo kulalamika kwamba chadema ilichakachuliwa buguruni, vingunguti na kiwalani ni uongo na kuwakosea hata CUF. Labda wao CUF ndio wangelalamika. Halafu Mahanga unamchukia bure. Masikini wa watu hakuzunguka hata jimboni wakati kura zinapigwa na kuhesabiwa - hajaiba kura, na mahakama imethibitisha.
 
Ili kuwa na mjadala wenye tija kwa wale wenye uwelewa mdogo wa haya maswala ya sheria ni bora kungoja nakala ya hukumu ya kesi ya Mpendazoe ili kuona kilichojiri.Kwani inawezekana mwandishi wa Mwananchi hakusikia vizuri au amenukuu vibaya.
Hukumu iliyoandikwa kiingereza na kusomwa kiswahili inawapa watu wengi shida. the first, second and third respondents are awarded costs. Hiyo ndiyo hukumu - mdaiwa wa kwanza, wa pili na wa tatu wanatuzwa gharama za kesi. Ndivyo alivyosema. Akina mahanga wamepewa tuzo la gharama, mpendazoe mlipaji. Sasa wandishi wetu hawa makanjanja hawajui maana yake!
 
Back
Top Bottom