Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 10,142
- 12,188
Mkuu 'EK' ndiyo nani?"Tumeambiwa umetoa siri za nchi! Hivyo meza hiki kidonge ulale hapo!!!" nasikia jamaa akameza hakuwa na ujanja!!!RIP E.K!!!Bongo kila kitu kinawezekana!!!
Mkuu 'EK' ndiyo nani?"Tumeambiwa umetoa siri za nchi! Hivyo meza hiki kidonge ulale hapo!!!" nasikia jamaa akameza hakuwa na ujanja!!!RIP E.K!!!Bongo kila kitu kinawezekana!!!
Gaidi nae anajuta kwa kumchafua SabayaWale waliokuwa wakitumika na jiwe kuchafua wengine sasa watajuta kwanini walikubali kutumika kama tambara la deki.
Sabaya ni miongoni mwa matambara ya deki yanayojuta kutumika kufutia mavi.Gaidi nae anajuta kwa kumchafua Sabaya
Heshima tafadhaliKama shamba la migomba vile kudadadeqView attachment 1971793
Coded."Tumeambiwa umetoa siri za nchi! Hivyo meza hiki kidonge ulale hapo!!!" nasikia jamaa akameza hakuwa na ujanja!!!RIP E.K!!!Bongo kila kitu kinawezekana!!!
Mkuu 'EK' ndiyo nani?
Labda Engineer K."Tumeambiwa umetoa siri za nchi! Hivyo meza hiki kidonge ulale hapo!!!" nasikia jamaa akameza hakuwa na ujanja!!!RIP E.K!!!Bongo kila kitu kinawezekana!!!
Imeahirishwa tayari.Lazima itaahirishwa kuwa hukumu bado haijakamilika kuandikwa
cc:Wale waliokuwa wakitumika na jiwe kuchafua wengine sasa watajuta kwanini walikubali kutumika kama tambara la deki.
Piga mpaka akae mpumbavu huyu.Hukumu ya Kesi Ya Mzee Membe Vs. C. Musiba Imekuwa Adjourned for Judgement Mpaka Trh.28/1/2021.
Jaji Demelo amsema kwamba hajakamilisha uandaaji wa hukumu yenyewe.
Kwa aina ya Jaji Demelo alivyo, lazima C. Musiba apigwe na kitu kizito sana kichwani.
PView attachment 1971860
Sent using Jamii Forums mobile app
Sabaya ni miongoni mwa matambara ya deki yanayojuta kutumika kufutia mavi.
Lumumba halafu unauliza rangi ya shati?Mbona sikuoni! Umevaa shati la rangi gani?
Mcheki gwaji boyBongo kila kitu kinawezekana,kasoro kufungua wafu tuu ndio hatuwezi.
Maccm Yana shida sana,Mahakama Kuu leo inatarajiwa kutoa Hukumu ya Kesi inayomkabili Musiba na Mhariri wa gazeti la Tanzanite , ambao kwa pamoja wanadaiwa kumchafua Benard Membe kwamba alikuwa anamhujumu aliyekuwa Rais wa awamu ya 5 , John Magufuli .
Membe anadai Mahakamani fidia ya Tsh Bil 10 .
===UPDATE===
Mahakama Kuu ya Tanzania leo inatarajiwa kutoa hukumu ya kesi ya Bernard Membe dhidi ya Cyprian Musiba. Membe amemshtaki Musiba na wachapishaji wa Gazeti la Tanzanite ambapo anadai fidia ya TZS bilioni 10 kwa madai kuwa gazeti hilo lilimchafua.
Chadema twende na Membe 2025
Ufufuo na uzimaBongo kila kitu kinawezekana,kasoro kufufua wafu tuu ndio hatuwezi.
Ya moto bado!sikuambii!!NAKUULIZA !!!STAGOMENA TAX KACHUKUA NAFASI YA NANI???(RIP???)Mkuu 'EK' ndiyo nani?