Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,635
- 218,069
Mahakama Kuu leo inatarajiwa kutoa Hukumu ya Kesi inayomkabili Musiba na Mhariri wa gazeti la Tanzanite , ambao kwa pamoja wanadaiwa kumchafua Benard Membe kwamba alikuwa anamhujumu aliyekuwa Rais wa awamu ya 5 , John Magufuli .
Membe anadai Mahakamani fidia ya Tsh Bil 10 .
===UPDATE===
Mahakama Kuu ya Tanzania leo inatarajiwa kutoa hukumu ya kesi ya Bernard Membe dhidi ya Cyprian Musiba. Membe amemshtaki Musiba na wachapishaji wa Gazeti la Tanzanite ambapo anadai fidia ya TZS bilioni 10 kwa madai kuwa gazeti hilo lilimchafua.
Membe anadai Mahakamani fidia ya Tsh Bil 10 .
===UPDATE===
Mahakama Kuu ya Tanzania leo inatarajiwa kutoa hukumu ya kesi ya Bernard Membe dhidi ya Cyprian Musiba. Membe amemshtaki Musiba na wachapishaji wa Gazeti la Tanzanite ambapo anadai fidia ya TZS bilioni 10 kwa madai kuwa gazeti hilo lilimchafua.