Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Watanzania wenzangu, kama mnavyojua Tanzania iliondoa kodi kwa mtu yeyote anayeingiza kompyuta nchini. Lakini hata hivyo kuna sheria zilizowekwa kusimamia uchakavu wa vitu vinavyoingizwa Tanzania ili kuzuia nchi yetu kuwa dampo. Nimejaribu kuangalia hii picha kwa makini nimeshindwa kupata la uhakika, ila kwa mtazamo na maoni yangu niliamini kuwa hapa huyu Mbunge Makalla anatania au kuudanganya umma. Naamini hapa atakuwa anatamba kuwa ametoa msaada wa kompyuta, na printa, lakini inaoneka hivi vifaa ni vya zamani. Angalia hata keyboard.....jamani tuacheni kudanganya umma.
Wadau toeni maoni kuhusu hii picha hapa.
[/QUOTEMbona singewaachia hilo VX??
Gharama ya kuchoma mafuta kwa hilo VX kutoka maduka ya wasomali wauzaji wa kompyuta chakavu pale kariakoo mpaka jimboni kwake mvomero ni kubwa kuliko gharama ya msaada aliotoa...kwa kutaka publicity akawaita na wana habari kabisa...ni kweli msaaada hauna udogo lakini vitu vingine bora usaidie mkono wa kulia na mkono wa kushoto usijue,vinginevyo ni kama utapeli na udanganyifu tu.