Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Watanzania wenzangu, kama mnavyojua Tanzania iliondoa kodi kwa mtu yeyote anayeingiza kompyuta nchini. Lakini hata hivyo kuna sheria zilizowekwa kusimamia uchakavu wa vitu vinavyoingizwa Tanzania ili kuzuia nchi yetu kuwa dampo. Nimejaribu kuangalia hii picha kwa makini nimeshindwa kupata la uhakika, ila kwa mtazamo na maoni yangu niliamini kuwa hapa huyu Mbunge Makalla anatania au kuudanganya umma. Naamini hapa atakuwa anatamba kuwa ametoa msaada wa kompyuta, na printa, lakini inaoneka hivi vifaa ni vya zamani. Angalia hata keyboard.....jamani tuacheni kudanganya umma.
Wadau toeni maoni kuhusu hii picha hapa.
Wadau toeni maoni kuhusu hii picha hapa.