Huku Ikwiriri ikifika saa 12:55 jioni watu wote ndani kwa nyumba zao

Usangu

JF-Expert Member
May 28, 2015
826
449
Ma Bibi na Mabwana heshima iwe juu yenu. Mimi nipo Ikwiriri wilaya ya Rufiji, nimekuja ki kazi kwa siku moja. Naomba pache mapema nirudi Dar maana kuanzia saa 12:30 police wapo mitaani hawataki kuona mama ntilie wala watu kutembea. Nivichapo tu.

Shida ipo kwa wageni na hasa upande wa misosi.

Je hii ni njia sahihi ya kutokomeza matukio yaliyotokea?
 
Sawa na pole sana kwa mapito mnayopitia.

Acha wawe waoga maana hakuna namna.

Ila nahisi wamevaa mavazi ya polisi tu lakini ni wajeda hao. Kaa mbali nao hawanaga mchezo wakiwa kazini
 
Sawa na pole sana kwa mapito mnayopitia.

Nikuombe utulie kidogo, tuliza akili na utuletee habari kamili Nini kimetoa mpaka hali ikawa hivyo.
Mkuu wewe unasoma habari kweli? Yaani hujui nn kimetokea eneo hilo? Au mgeni hapa Tz!?
 
Ujinga ni kufikiri kwamba yule Sniper bado atakua hapo hapo, kumbe usikute yuko zake Benako huko anakula bear na mbuzi choma.
 
Njia pekee iliyobakia ni kuwaambia RAIA mwisho wa shughuri zao za nje ni saa kumi na mbili jioni...basi.
 
Wangelala hata saa kumi maana hawatoi ushirikiano kwa serikali haiwezekani MTU apigwe risasi halafu we uambiwe kachukue mkaaa!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom