Huku Ikwiriri ikifika saa 12:55 jioni watu wote ndani kwa nyumba zao

Uvunjaji wa haki za binadam na katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar police peke yao hawawezi kulinda usalama wa raia pia police ni msimamizi upande wa utekelezaji wa sheria ila sisi ndio walinzi
 
Huko mimi ni mwenyeji sana,na nna mashamba ilikuwa nipeleke mbegu za mojito lkn nme simama ngja nione upepo ukatavyo kuwa

Ova
 
Fuata uliloendea mengine mwachie ngoswe. Unataka kwenda kuvinjari mitaa kwani ni ya kwako au ulisikia hiyo mitaa inauzwa hiyo??
 
Mkuu ikwiriri hakuna hotel, hakuna lodge hata moja wanayopika msosi. Misosi yote ni pale stand kwa mama ntilie. Maduka yenyewe sa kumi yanafungwa
Kuna Bar moja inaitwa Kivulini kuna Chakula vizuri sana pale.
 
Hatar sn, ingekua inawezekn, sehem km hizo ukienda unaacha roho nyumbn unapeleka mwili tuu, ukirud unachukua roho yako
 
ni njia moja ya kukabiliana na uhalifu. kwa bahati mbaya wanapoamkia ndipo wenzao walilala jana. 'criminals are always ahead of police'. mafanikio makubwa kudhibiti uhalifu yanapatikana kwa upelelezi makini kuwatumia 'undercovers'. kinyume chake operations zinazofanyika huwa ni janga kwa wananchi na uchumi wa eneo husika hudumaa kwani shughuli kwa ujumla husimama. vijana ambao ndio nguvu kazi hukimbia eneo.
 
Ma Bibi na Mabwana heshima iwe juu yenu. Mimi nipo Ikwiriri wilaya ya Rufiji, nimekuja ki kazi kwa siku moja. Naomba pache mapema nirudi Dar maana kuanzia saa 12:30 police wapo mitaani hawataki kuona mama ntilie wala watu kutembea. Nivichapo tu.

Shida ipo kwa wageni na hasa upande wa misosi.

Je hii ni njia sahihi ya kutokomeza matukio yaliyotokea?
Eeee mkae tu ndani hakuna namna
 
mh kwa hiyo kwa kufanya hivyi tatizo litaisha ?
tujiulize tu hali hiyo itafanyika kwa muda gani na hao wahalifu inamaana watasahau uhalifu wao ?
kama mambo ndio hayo basi hakuna,Lile tangazo litolewe.
 
Pole sana, tulia wana usalama wanajua wanachokifanya.
Curfew ndio strategy ya kuzima ambush??? Naona kuna haja ya somo la ulinzi na intelligentsia kuanza kufundishwa shule zetu maana naona fikra zetu za kiusalama zina walakini
 
Wangelala hata saa kumi maana hawatoi ushirikiano kwa serikali haiwezekani MTU apigwe risasi halafu we uambiwe kachukue mkaaa!!
Sasa kma hawatoi ushirikiano kwanni msijenge uhusiano kati ya rais na polisi kuliko kuanza kukomoana??? Ssa kwa staili hii ya kuwabana wazawa kana kwamba wao ndio wahalifu unafkiri ndio watatoa ushirikiano kwenye mazingira hayo???
 
Wakuuuu nipo jaribu narudi, mabomu yapigwa vibaya mna sada hivi gari zote zimezuiliwa, nipo ndani ya gari sijui kunsnini mbele. Police kama defender 10
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom