ISUKWIIWakuu nimeuliza wenzangu jina la huu mmea/tunda na kila mtu anasema lake..mimi huwa naliita "ndulele" ww je???View attachment 1202295


Mie simooNtulantu hio mkuu ukiichemsha ukanywa mchuzi wake ukiongea na manzi yeyote hapindui alafu gem yake pweza viagra vikasome
Ngosha Khinehe!Amatobhoro



ni dawa nzuri ya jino
Tura, nishawahi kuionja sijui nini kilinishawishi! Ile ladha hadi leo naikumbuka
Kama ni sumu kuna watu watakufa baada ya hii comment.Ntulah.
Hii vumbi la kongo ikasome.
Nimeshukuru sana kukufahamu shadyaí ½í¸í ½í¸í ½í¸í ½í¸
@zeshcriss una ID nyingiEeeeeh
Hapana@zeshcriss una ID nyingi
Yes hubby@zesh wangu.

Dawa nzuri ya toasis au kama unauvimbe mdomoni, koo tumia hiyo tafuna lakini ladha yake siyo nzuriWakuu nimeuliza wenzangu jina la huu mmea/tunda na kila mtu anasema lake..mimi huwa naliita "ndulele" ww je???View attachment 1202295
ndio wewe, ila sio kesiYes hubby![]()
hahah umenikumbusha mbali sana nadhani utakuwa mchagaTuliambiwa ukichapwa na mwalimu ukiichoma ndulele atavimba mkono.
Nilizochoma sana nikiwa primary.
Nimefurahi kukuona sweetie.Yes hubby![]()