mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 9,881
- 13,245
Ngoja wajuzi waje wafunguke zaidi
Kwa wazigua badooooo zipoNdio hasa kwa watoto wadogo. Huwa zinapekechwa kwenye maji sijui vile kama sijakosea kisha povu anapakwa nalo mtoto tumboni.
(Ila siku hizi sidhani kama bado zipo hizo imani)
😅😅😅😅leo ndio nimehakikisha wewe ni mzanzibar
Kuumbe.Kwa wazigua badooooo zipo
Tuliambiwa ukichapwa na mwalimu ukiichoma ndulele atavimba mkono.
Nilizochoma sana nikiwa primary.




Alivimba?ngogwe
Unataka kiwaaminisha nini watu?Ntulah.
Hii vumbi la kongo ikasome.
EeeeehMtula, ukiweka mfukoni tunda lake amalo limeshakuwa njano, huwezi kurogwa na mtu popote uendako.
Madungulusi (kingoni/kindendeule)
Mabaharia watakua wamekuelewa..ila hutumika pia kama dawa ya kutolea funza kwene kucha, unaikata duara afu unaivalisha kwene kidole husikaNtulantu hio mkuu ukiichemsha ukanywa mchuzi wake ukiongea na manzi yeyote hapindui alafu gem yake pweza viagra vikasome
Hahahah #mankidoleMabaharia watakua wamekuelewa..ila hutumika pia kama dawa ya kutolea funza kwene kucha, unaikata duara afu unaivalisha kwene kidole husika
Ni chimali wasuAmatobhoro
Ndula /Ndulele /nyanya chungu pori.
mugonile....
Ugonilee, Ulimakafuu..