Huko kwenu linaitwaje?

Huko kwenu linaitwaje?

Ndio hasa kwa watoto wadogo. Huwa zinapekechwa kwenye maji sijui vile kama sijakosea kisha povu anapakwa nalo mtoto tumboni.

(Ila siku hizi sidhani kama bado zipo hizo imani)
Kuna kabila moja la Tanga zongo ndio uchawi wao. Hawashiki tunguli wala nini, akimtazama tu mtoto basi tumbo linavimba kama kavimbewa
 
Kuna kabila moja la Tanga zongo ndio uchawi wao. Hawashiki tunguli wala nini, akimtazama tu mtoto basi tumbo linavimba kama kavimbewa
Uwiii! Wamekuwa kama huku Arusha 😜😜 wapo wanaokuwa na macho mabaya akimwangalia mtoto tu basi naye anakuwa kama kapigwa zongo sema ikiwa hataki yamdhuru basi atamtemea mate.
 
Ndioo! Tena nasikia wanapika zile changa changa zinakuwa kama ngogwe.
Kweli vyakula ni vingi sana yaani harufu ya majani yake na zenyewe zikiwa bado kwenye mti wake zinataka moyo kuzichezea sembuse kuzila!

Lakini kila mahali na tamaduni zao. Kuna kabila moja nchi Uganda bangi ni mboga ya heshima kabisa na wanasema ni dawa ya kisukari pia
 
Kweli vyakula ni vingi sana yaani harufu ya majani yake na zenyewe zikiwa bado kwenye mti wake zinataka moyo kuzichezea sembuse kuzila!
Ndio hapo sasa mana nkawa nawaza ule utomvu wake na kile kiharufu. Daah. Kula hapana kwa kweli.
Lakini kila mahali na tamaduni zao. Kuna kabila moja nchi Uganda bangi ni mboga ya heshima kabisa na wanasema ni dawa ya kisukari pia
Dooh. Ama kweli kila watu na tamaduni zao Ses.
 
Uwiii! Wamekuwa kama huku Arusha 😜😜 wapo wanaokuwa na macho mabaya akimwangalia mtoto tu basi naye anakuwa kama kapigwa zongo sema ikiwa hataki yamdhuru basi atamtemea mate.
Hiyo ndio sayansi yetu bana Shadeeya yaani mtu anakudhuru kwa rimoti kontroo tu🤣🤣🤣

Vipi Arusha kwema? Nimejikuta nimefurahi tu mwenyewe hapa mamii sijui kwanini😃
 
Hiyo ndio sayansi yetu bana Shadeeya yaani mtu anakudhuru kwa rimoti kontroo tu🤣🤣🤣
Hatarai sana Ses japo salama
Vipi Arusha kwema? Nimejikuta nimefurahi tu mwenyewe hapa mamii sijui kwanini😃
🤣🤣🤣🤣 nilikuwa nakunywa maji hadi nimepaliwa hapa. Hahahahaaaa. Huku wazima kabisa. Hizo tunaziita NDULELE.
 
Hatarai sana Ses japo salama🤣🤣🤣🤣 nilikuwa nakunywa maji hadi nimepaliwa hapa. Hahahahaaaa. Huku wazima kabisa. Hizo tunaziita NDULELE.
Hahahaaaa poole kwa kupaliwa Shadeeya, pumzika kidogo halafu piga funda tatu zingine za maji taratiiibu kila kitu kitakua sawa eeh mamii

Basi mimi mara ya kwanza kusikia hilo jina NDURERE nikadhani wanamaanisha kiungo fulani hivi cha mwili wanachokua nacho viumbe wa kiume kama mbuzi na binadamu
 
Back
Top Bottom