Dennis Robert Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 4,124
- 6,141
NIKIWA RAIS WA TANZANIA HADUMA YA MAJI ITAKUWA YA UHAKIKA
Zifuatazo ni mbinu ntakazotumia kuhakikisha huduma ya maji inakuwa ya uhakika ni kupima nchi nzima moja ya sababu ya kuwepo kwa ugumu wa kusambaza maji ni uwepo wa squatter na itakuwa ni LAZIMA KUFUATA MIPANGO MIJI
faida za mipango miji
- Hakutakuwa na mgao wa maji hili linawezekana mbona nchi nyingine wameweza hata sisi tunaweza
- Wananchi wa mjini na vijijini hawatakuwa na haja ya kuweka akiba kama ilivyo nchi zilizoendelea
- Maji ya bombani yatakuwa hayana haja ya kuchemsha mbona nchi nyingine wameweza
- Maeneo ya mashamba watakuwa na mfumo wa maji ya kumwagilia
Zifuatazo ni mbinu ntakazotumia kuhakikisha huduma ya maji inakuwa ya uhakika ni kupima nchi nzima moja ya sababu ya kuwepo kwa ugumu wa kusambaza maji ni uwepo wa squatter na itakuwa ni LAZIMA KUFUATA MIPANGO MIJI
faida za mipango miji
- Itakuwa ni rahis sana kuvutia watu maji kwa kufuata mipango miji
- Itakuwa ni rahis sana kufanya maintenance
- Mabomba yanayotumika kupitishia maji yatakuwa na ubora mkubwa sana
- Njia za mambomba ya maji zitajengewa kisasa na sio tu kuchimbiwachimbwa juu juu kama ilivyo sasa