Word
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 1,356
- 3,232
Ni usiku mchana alikua anaingia kazini, alishakua addicted.Duuu nasikia hayo madawa sio mazuri kabisa,bora kupata ushauri,sasa alivyokuwa akijichoma hivyo ili alale au na muda gani alikiwa akifanya hivyo usiku au muda wowote akijisikia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha naomba uniachee na G wangu wa kufikirika ananifarijii na kunidekeza
Huwa tunasahau kwa sababu akili zetu zinakwenda kutafuta chanzo cha kufa kwa marehemu, ukishapata sababu tu huzuni yote inakwisha. Unasahau kuwa kila nafsi itaonja umautiNi kweli mkuu haya maneno.. Lakini Mi sielewagi sijui kwanini Yale maneno yanayosemwaga pale huwa yana gusa Sana hisia, mpk unasema Leo mwisho . Lakini ukishageuka tu tumesahau kabisa.. Hivi ni Mimi tu ?
Sent using Jamii Forums mobile app
tutaharibu Uzi huuHahahahaha naomba uniachee na G wangu wa kufikirika ananifarijii na kunidekeza
Misiba nahudhuria sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Duu we utakua umetisha sasa.. Mfano hata ile misiba umeikutia njiani tu bado utataka kujua mtu alikufaje aiseee??Huwa tunasahau kwa sababu akili zetu zinakwenda kutafuta chanzo cha kufa kwa marehemu, ukishapata sababu tu huzuni yote inakwisha. Unasahau kuwa kila nafsi itaonja umauti
Pole sana.
Pole mkuu dah pole sanaPole sana huu ndo mwaka baba na mama walifariki kwa kutofautiana miezi miwili tu nikawa yatima ghafla sitosahau.
Mahitaji ya nyakatiBro kulikoni Leo mteja wa misukule kaja kilingeni
# hudhuria msiba
Sent using Jamii Forums mobile app
RipAlikuwa na depression nadhani so akawa anazitumia kama antdepresant ,mwanzon alikua anachoma diazepam lakini baadae akawa anachoma ketamine kabisa ( hii ni dawa ya nusu kaputi wakat wa opareshen) basi majuzi alivyochoma ndio hakuamka. Very sad aisee Last seen yake wasap ijumaa saa kumi ,í don believe..
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliwahi kuwa teja wa diazepam way back 1993 thanks God I managed to make it...!Duuu nasikia hayo madawa sio mazuri kabisa,bora kupata ushauri,sasa alivyokuwa akijichoma hivyo ili alale au na muda gani alikiwa akifanya hivyo usiku au muda wowote akijisikia
Sent using Jamii Forums mobile app
Maneno mazito makali kama ya kitabu cha Mithalimhubiri 7:2
afadhali kwenda kwenye nyumba ya msiba kuliko kwenda kwenye nyumba ya karamu,
kwa kuwa kifo ni hatima ya kila mwanadamu,imewapasa walio hai kuliweka hili mioyoni mwao.
7:4
Moyo wake mwenye hekima umo nyumbani mwa matanga, bali moyo wake mpumbavu umo nyumbani mwa furaha.