Barikiwa saanaUnajua mkuu lazima USA atapetape maana unaambiwa mpaka miaka ya 1950 USA ilikua ina miliki uchumi wa dunia kwa asilimia 50% yani nusu ya uchumi wa dunia ulikua USA, ila kwa sasa wana 18% tu hii ni hatari kwao na walifikiri hakuna nchi zingine zitakazo ibuka inabidi tu wakubali matokeo kuwe multi polar world
Anamkataza Germany asisambaze 5G network kupitia huawei eti kwamba huawei ata spy europe na wakati yeye USA kipindi cha Obama ndiye aliyekua na scandal ya ku spy viongozi wa wa ulaya wakina merkel
Naona germany amegoma kila pressure anayopewa na USA kwa sasa kuanzia kupeleka navy force kule Kerch straight crimea,bomba la gas na ku ban huawei technology
Mtu akinunua silaha za kujilinda za urusi anapigwa sanctions anataka zinunuliwe zake na watu wanataka wanunue za russia huu ni wivu mkubwa sana wa kibiashara
kuna siku sanctions hazita fanya kazi kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
🙏🙏🙏🙏👍Ukiwa vizuri kwenye suala la Tech..mmarekani lazima tu atakuletea fitina.Hii ni mara ya pili wanafanya ban ya product za Huawei.Wivu umewajaa sanaa.. Huawei kaongoza sokoni mwaka jana ulaya na Asia.Huawei imeshakuwa threat kwa kampuni yao ya apple na bado..Mnyama Nokia naye hayupo nyuma..katoa kitu hatari sana(Nokia9)..Noana Aple watapata tabu sana kwenye market this time..Nokia,Xiomi and Huawei these are the future mobile thech giants..View attachment 1040848
#Muungwana_John
Usiseme US sema dunia, dunia haijazuiwa kutumia OS na apps za za kichina. Hawatumii sababu hazina mvuto. Dunia inatumia OS za US sababu zina mvuto, ni bora, na zinakidhi viwango vya kimataifa. Wachina wanatumia za kwao sababu za US zimezuiwa.Kwa nini uwe tegemezi?
Kwani unadhani umezuiwa kutumia app za kichina?
Marekani wanafanya fitna na china nao wana fanya fitna vile vile
Sent using Jamii Forums mobile app
Imetungwa mwaka 2016 maalamu kabisa kwa ajili ya kudhibiti adversaries wa Marekani hasa RussiaUnafahamu kitu kinaitwa Countering America's Adversaries Through Sanctions Act(CAATSA)?
Hii act uwe NATO usiwe NATO ila ukinunua silaha Russia wanakupiga sanctions.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huawei ni kibaraka wa serikali ya China hilo halina ubishi na wameshadakwa mara nyingiHakuna ushahidi ndio maana wameenda mahakamani,una dhani kesi imefunguliwa kwa sababu gani?
Hauewi wanataka ushahidi wa kisheria kwamba wanafanya spying.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni haki yao lazima wajue nani ni rafiki wa kweli na yupi ni mamluki. Pia kwa usalama wa watu Dunia Nzima,ni mara ngapi Marekani imekua ikionya juu ya mipango ya mashambulizi ya kigaidi na kusaida nchi husika kutibua mipango ya magaidi,huwezi fananisha na China ambayo taarifa za udukuzi ni zao wao pekee kwa maslahi yaoVipi kuhusu zile tuhuma za USA kupitia NSA za ku wa spy viongozi wa ulaya wakina Merkel na kibaya zaidi ushahidi ulikuwepo.
USA walikua wanadukua maongezi ya viongozi wa ulaya una lizungumziaje hili?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo unaona marekani kudukua ni sahihi?Ni haki yao lazima wajue nani ni rafiki wa kweli na yupi ni mamluki. Pia kwa usalama wa watu Dunia Nzima,ni mara ngapi Marekani imekua ikionya juu ya mipango ya mashambulizi ya kigaidi na kusaida nchi husika kutibua mipango ya magaidi,huwezi fananisha na China ambayo taarifa za udukuzi ni zao wao pekee kwa maslahi yao
Sent using Jamii Forums mobile app
hizo ni allegations tu na hakuna ushahidi na hata devices za marekani huwa zina spy na ndio maana russia waligoma kutumia Windows 10 kwa kua inatuma taarifa MicrosoftHuawei ni kibaraka wa serikali ya China hilo halina ubishi na wameshadakwa mara nyingi
Poland arrests Huawei worker on allegations of spying for China
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinacho mfanya marekani aogope ule mfumo wa kujilinda kwenda china au india ni kipi hasa kama sio wivu tu wa kibiashara?Imetungwa mwaka 2016 maalamu kabisa kwa ajili ya kudhibiti adversaries wa Marekani hasa Russia
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi inawapasa warudi wakatengeze simu kwao ili kuepuka yote hayo.Usiseme US sema dunia, dunia haijazuiwa kutumia OS na apps za za kichina. Hawatumii sababu hazina mvuto. Dunia inatumia OS za US sababu zina mvuto, ni bora, na zinakidhi viwango vya kimataifa. Wachina wanatumia za kwao sababu za US zimezuiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata USA nayo imeonyonywa sana na mataifa mengine kuhusu mashambulizi ya kigaidi hata ile sept 11 walionywa piaNi haki yao lazima wajue nani ni rafiki wa kweli na yupi ni mamluki. Pia kwa usalama wa watu Dunia Nzima,ni mara ngapi Marekani imekua ikionya juu ya mipango ya mashambulizi ya kigaidi na kusaida nchi husika kutibua mipango ya magaidi,huwezi fananisha na China ambayo taarifa za udukuzi ni zao wao pekee kwa maslahi yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi inawapasa warudi wakatengeze simu kwao ili kuepuka yote hayo.
Kibaya hapo China ni soko la uhakika sana la hizo bidhaa na ukizingatia wana nguvu kubwa sana ya manunuzi
China kamawahi marekani kwa kufanya procteonism ambapo marekani ndio wamekumbuka sasa hivi kwa kupitia rais wao trump ndio maana umeona anasema america first
ameanza mpaka kupinga magari yanayo toka ujerumani na ujerumani akasema tunapeleka magari kwenu sababu tuna tengeneza magari yenye ubora zaidi na raia wa USA wanayapenda
Marekani ina deficit trade na nchi nyingi tu na ni kwa sababu walizubaa walilewa na mavita vita yasiyokua na mpango.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona China alifungia kampuni za USA toka 2009.facebook, WhatsApp, Google , Amazon, Instagram. Ni kisasiNaziona hila za USA hapo
Basi inawapasa warudi wakatengeze simu kwao ili kuepuka yote hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio warudi kwa kuna sheria zimewakatazs wao kutoka ChinaNdo wito wa rais trump makampuni yarudi nyumbani.
China ananufaika Sana na uwepo wa yale makampuni eti?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana nikakuambia fikiria vizuri lakin wewe hujataka kabisa kufikiri. Kwani hivyo vifaa vya huawei ambavyo US imekataza vinatengenezwa US? umshauri China akatengenezee China!.
Apps zao wenyewe ngapi?Hivi unajua kwamba kule china google play store ilipigwa ban muda mrefu tu?wachina wanatumia app zao wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Apps 4 unataka kulinganisha na msitu wa play store?Mkuu google play store kule china imepigwa ban kule china wanatumia application stores zao ngoja nikutajie ambazo ni popular
1.Myapp ya tencent
2.Baidu app store
3.Xaiomi Phone store
4.360
Zipo application store nyingi tu ambapo kwa raia wa china atapata application za kutosha tena zikiwa na mbadala wa popular app popular zote kuanzia facebook mpaka google maps.
Sent using Jamii Forums mobile app