How well do you know Kenyan music?

How well do you know Kenyan music?

Haiya umejua leo,hio ni.poa ka umejua n first sikusema nadai dem as in r/shp nadai mtu mwenye tunaeza funzana inaitwa ku exchange culture in other words

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂unadhani nani akufwate?? eti ooh nimeboeka! sijui nini! 😂😂 humu kuna watu wanaojielewa! hivi huna hela unadhani atakuja nani?? mr mngese ooh sorry wangeci!??.. halafu eti unamwambia jamaa anakula ugali?. usitake tuanze kuyaweka hapa maisha yenu mnayoishi yalivyo mabaya namna ile! 😂😂
 
Kenya Ni ndugu zetu nawakubali Sana Wana jielewa na napenda Sana comedy zao..Kenya nawapenda Sana wanavyoongea.ila mademu wa huko siwapendi naonaga Kama wako na roho mbaya Sana btw sio wote.. kingine nachowapenda wakenya wanavaa vizuri Sana nguo zao mpya za dukan sio Kama TANZANIA huku mitumba ndo tutaifurahia
Hizi Ni nyimbo kweye playlist yangu
Screenshot_20190203-034903.jpeg
Screenshot_20190203-034820.jpeg
 
Pia kaligraph anafanya POA Sana
Micasa sucasa
Juu ya ngori
 
Unasound dump asf war is not planned that way but sikulaumu.ni madhara ya kupata chakula ya bure kila siku so akili yako pia ikawa jinga,Uma behave ka mtoto i wonder how old you are,zile vitu una text ndo mi nafaa kuwa nikitext.hahah hata si mimi mtoto wa grade 1 huku anafikiria kukuliko,wewe unafikiria tu kubaka brotherman kuna kitu inaitwa war strategy acha kufikiria ka umeisha kupewa ugali your whole life ooooh i forgot actually umeishi kupewa ugali ndo maana bdo akili ni.ugali pia,uji uji

Sent using Jamii Forums mobile app
Tukenya bwana eti tukuliko ni viswahili vua wapi ,sjawahi malizia kusoma maviswahili yako nimeishia line chache ,mbona wagabon hawaulizi tunapendasana wasanii wao gani ,mjiamin wakuu
 
Lazima ikuchome moyoni hope siku nyingine utajifunza. [emoji23][emoji23].anyway umepata dem ulokuwa unatafuta? why umekuja huku kutafuta madem? au kisa wale madem zenu wana sura kama kisigino cha nguruwe??[emoji23][emoji23]
Hio sura ya nguruwe ndo Diamond na ali k wenu walikujia n and kusema kweli hamtawai tena kuwa na msanii mkubwa ka diamond na yy hafuati madem wenu mbna sai anaoa mkenya ka Ali k alafu brown mauzo kutuchocha ni mkenya na sote tunajua that guy is Tzanian yaani munataka sana kuwa kenyans but pole haitawai fanyika be proud kuwa Tz na upende nchi yako juu mi siezi toka huku nikuje nikupendee nchi yako,hio ni common sense its not rocket science

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]unadhani nani akufwate?? eti ooh nimeboeka! sijui nini! [emoji23][emoji23] humu kuna watu wanaojielewa! hivi huna hela unadhani atakuja nani?? mr mngese ooh sorry wangeci!??.. halafu eti unamwambia jamaa anakula ugali?. usitake tuanze kuyaweka hapa maisha yenu mnayoishi yalivyo mabaya namna ile! [emoji23][emoji23]
Am.kenyan am not Nigerian hatuendagi tuki brag tuna pesa hio ni kitu unafaa ujue,,,n believe mi nikataka kupata hapa sai dem ni one touch msee buh hio time ndo sina mi nataka tu urafiki,Madem its not my thing kenya ni kubwa na wanawake ni wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hio sura ya nguruwe ndo Diamond na ali k wenu walikujia n and kusema kweli hamtawai tena kuwa na msanii mkubwa ka diamond na yy hafuati madem wenu mbna sai anaoa mkenya ka Ali k alafu brown mauzo kutuchocha ni mkenya na sote tunajua that guy is Tzanian yaani munataka sana kuwa kenyans but pole haitawai fanyika be proud kuwa Tz na upende nchi yako juu mi siezi toka huku nikuje nikupendee nchi yako,hio ni common sense its not rocket science

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha brown mauzo ni wenu sio wetu. sisi tumekuja kuoa kwenu coz wanaume wa kwenu mnazingua. so tutajibebea sana bobu! anyway kwa comedy Kenya mko powa. afu jamaa waloimba nikikutizama wanaitwaje??
 
Unasound dump asf war is not planned that way but sikulaumu.ni madhara ya kupata chakula ya bure kila siku so akili yako pia ikawa jinga,Uma behave ka mtoto i wonder how old you are,zile vitu una text ndo mi nafaa kuwa nikitext.hahah hata si mimi mtoto wa grade 1 huku anafikiria kukuliko,wewe unafikiria tu kubaka brotherman kuna kitu inaitwa war strategy acha kufikiria ka umeisha kupewa ugali your whole life ooooh i forgot actually umeishi kupewa ugali ndo maana bdo akili ni.ugali pia,uji uji

Sent using Jamii Forums mobile app
kwani Kuna war gani ,mtoe jeshi Somalia tuu ,no one will attack u,hivyo vijinga vijaribu hapa hata kupiga mtanzania kibao mtatujua
 
Hio sura ya nguruwe ndo Diamond na ali k wenu walikujia n and kusema kweli hamtawai tena kuwa na msanii mkubwa ka diamond na yy hafuati madem wenu mbna sai anaoa mkenya ka Ali k alafu brown mauzo kutuchocha ni mkenya na sote tunajua that guy is Tzanian yaani munataka sana kuwa kenyans but pole haitawai fanyika be proud kuwa Tz na upende nchi yako juu mi siezi toka huku nikuje nikupendee nchi yako,hio ni common sense its not rocket science

Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania wanaoaga? Huwajui
 
Nachowapendea wa tz hawachokoz wakenya ila wakijileta hupiga mbwa vyema
 
Kenya Ni ndugu zetu nawakubali Sana Wana jielewa na napenda Sana comedy zao..Kenya nawapenda Sana wanavyoongea.ila mademu wa huko siwapendi naonaga Kama wako na roho mbaya Sana btw sio wote.. kingine nachowapenda wakenya wanavaa vizuri Sana nguo zao mpya za dukan sio Kama TANZANIA huku mitumba ndo tutaifurahia
Hizi Ni nyimbo kweye playlist yanguView attachment 1011938View attachment 1011939
haha@pancho na yule mwingine hope mumesikia munavaa mitumba na bdo munaringa nigga,na hizo mitumba ni wakenya wanawauzia mi niliwaambia hii war hamuwezi shinda ndo maana sibishani na nyinyi najifanya tu msofti coz i know what you want si bure munasemanga kenya ni wajanja juwa ni ukweli ndo maana nimenyamza muongee ka wajinga,nikataka kuwa report juu ya hate speech naweza kuwa na evidence kubwa sana next time beforw utusi mkenya fikiria kwanza awe ajakufanyia lolote mbaya think twice

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya Ni ndugu zetu nawakubali Sana Wana jielewa na napenda Sana comedy zao..Kenya nawapenda Sana wanavyoongea.ila mademu wa huko siwapendi naonaga Kama wako na roho mbaya Sana btw sio wote.. kingine nachowapenda wakenya wanavaa vizuri Sana nguo zao mpya za dukan sio Kama TANZANIA huku mitumba ndo tutaifurahia
Hizi Ni nyimbo kweye playlist yanguView attachment 1011938View attachment 1011939
Ndege hio ni fiti n btw i too love Tanzanian accent iko na unyonge sana sorry to say.Hart the band wako sawa umeakia uliza kiatu?bdo ni yao that was their first song,,iligoo viral

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha brown mauzo ni wenu sio wetu. sisi tumekuja kuoa kwenu coz wanaume wa kwenu mnazingua. so tutajibebea sana bobu! anyway kwa comedy Kenya mko powa. afu jamaa waloimba nikikutizama wanaitwaje??
Na brown mauzo si mkenya sijui yy husema nu half kenyan.but ni uongoo I knowy fellow kenyans n he is not,hata yy na otile brown wanautofauti sana ni rahisi kuona nani mkenya nani Tz,n he is not ours same thing pia niliskia lady jaydee akisema ati.yy mkenya wa mombasa *** her we know our own pple n she is not

Sent using Jamii Forums mobile app
 
haha@pancho na yule mwingine hope mumesikia munavaa mitumba na bdo munaringa nigga,na hizo mitumba ni wakenya wanawauzia mi niliwaambia hii war hamuwezi shinda ndo maana sibishani na nyinyi najifanya tu msofti coz i know what you want si bure munasemanga kenya ni wajanja juwa ni ukweli ndo maana nimenyamza muongee ka wajinga,nikataka kuwa report juu ya hate speech naweza kuwa na evidence kubwa sana next time beforw utusi mkenya fikiria kwanza awe ajakufanyia lolote mbaya think twice

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa bobu huoni we ndo kufanya threat hapa?? nami evidence nnazo
 
Na brown mauzo si mkenya sijui yy husema nu half kenyan.but ni uongoo I knowy fellow kenyans n he is not,hata yy na otile brown wanautofauti sana ni rahisi kuona nani mkenya nani Tz,n he is not ours same thing pia niliskia lady jaydee akisema ati.yy mkenya wa mombasa **** her we know our own pple n she is not

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni lini alisema? sote tunajua lady jay dee ni mkulya
 
Back
Top Bottom