How well do you know Kenyan music?

How well do you know Kenyan music?

pia sijaelewa hebu andika kiingereza ,tunakielewa kuliko kiswahili chenu
Mi si mwalimu,siko hapa kukuelezea,Jipe shughli mzae,ka tabia za umama ndo zako hatutaelewana,btw hicho kiswahili ndo kimefanya madem wengi wenu wakatiwa mimba na kuolewa na kenyans either as first wives or second,am sorry kukujulisha facts venye ziko,lala babaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah, mm ni mtanzania na these are my favorite kenyan songs: nyimbo ya juakali-ngeli ya genge, na khadija nisubiri, Nameless-nasinzia nikikuwaza, nonini-kadhaa, p-unit -sijamwona mkali, brenda-he's good for nothing, by the way uko kenya-talk forum? And huku Tanzania tuna tv station inaitwa east africa television (EATV) je hii channel is it popular huko kenya? Ww unaifahamu eatv? Latimore Mimo wangeci
Nikuulize sasa kwa cities kubwa ka Arusha,Dar,Kigoma ndo wao huskiza hizi ngoma ama ni Tz nzima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rafiki wangeci twende ,taratibu!
Wtanzania hatuvutiwi na miziki yenu kabisa ,na wala hatuko proud ya ninyi kuipenda yetu ninyi nisoko dogo,mbona watanzania wanaskiliza sana nyimbo za south africa ila south africa hawasikilizi zetu na we are very ok,sasa ninyi mnadhani mziki ni bidhaa kwamba kama mnaimport nazima na ninyi muexport ,soko la mziki ni wanadamu wote bil 7 ,mnajisumbua nini na watu 50 mil ? mkubali tu music industry ya tz ni three times big kuliko yenu .

NARUDIA HAKUNA MTANZANIA ANATAKA KUWAJUA ,NDO WALIVYO WA TZ ,NDO THE LEAST TRAVELLING NATION IN AFRICA ,WE ARE NOT INTRESTED MIND YOUR LIFE ,MI NILIENDA NAIROBI NILISHANGAA KILA KITU WANAKOMPARE NA TANZANIA ,GUYS WE DONT SEE YOU AND BURUNDI
 
Rafiki wangeci twende ,taratibu!
Wtanzania hatuvutiwi na miziki yenu kabisa ,na wala hatuko proud ya ninyi kuipenda yetu ninyi nisoko dogo,mbona watanzania wanaskiliza sana nyimbo za south africa ila south africa hawasikilizi zetu na we are very ok,sasa ninyi mnadhani mziki ni bidhaa kwamba kama mnaimport nazima na ninyi muexport ,soko la mziki ni wanadamu wote bil 7 ,mnajisumbua nini na watu 50 mil ? mkubali tu music industry ya tz ni three times big kuliko yenu .

NARUDIA HAKUNA MTANZANIA ANATAKA KUWAJUA ,NDO WALIVYO WA TZ ,NDO THE LEAST TRAVELLING NATION IN AFRICA ,WE ARE NOT INTRESTED MIND YOUR LIFE ,MI NILIENDA NAIROBI NILISHANGAA KILA KITU WANAKOMPARE NA TANZANIA ,GUYS WE DONT SEE YOU AND BURUNDI
Mkuu kwani una tatizo na jamaa?
Tupo tunaopenda music wa Kenya!

Hakuna haja ya kumsema jamaa vibaya,mbona sioni tatizo la yeye kujichanganya huku,

Kama huelewi anachokiongea ni kuvimiliana tu,kwanin una catch feeling namna hiyo,kama wakenya sijui wamekufanya nin?
 
Mkuu kwani una tatizo na jamaa?
Tupo tunaopenda music wa Kenya!

Hakuna haja ya kumsema jamaa vibaya,mbona sioni tatizo la yeye kujichanganya huku,

Kama huelewi anachokiongea ni kuvimiliana tu,kwanin una catch feeling namna hiyo,kama wakenya sijui wamekufanya nin?
Nakuelewa hujajichanganya na hawa watu utakuwa ,mkuu hata watanzania wanao penda mziki wa china wapo kama wewe unavyopenda wa kenya
 
Nakuelewa hujajichanganya na hawa watu utakuwa ,mkuu hata watanzania wanao penda mziki wa china wapo kama wewe unavyopenda wa kenya
Kwani Kenya wamekufanya nini Mkuu?

Yaani hata ukisoma comments zako ni kama una chuki nao, maana sioni tatizo lolote la jamaa kuanzisha uzi na kuzungumzia mziki wao,kama haupo interested si unaachana tu na hii thread
 
Mkuu kwani una tatizo na jamaa?
Tupo tunaopenda music wa Kenya!

Hakuna haja ya kumsema jamaa vibaya,mbona sioni tatizo la yeye kujichanganya huku,

Kama huelewi anachokiongea ni kuvimiliana tu,kwanin una catch feeling namna hiyo,kama wakenya sijui wamekufanya nin?
Haha why you lying mbele ya kila mtu,Nairobi we rarely talk about Tz and any tanzanian whose.been here can tell you that,pole kukuvunja roho ya pili you talking sana about SA na.venye mnasikiza mziki wao,nikikwambia SA wanajua alot about kenya than.Tz utaona nakupima actually East africa wanajua kenya tu na sitaki ikae madharau but wewe ndo umeanza moto huwezi zima,ya tatu,Music evolves na chenye unafaa ujue Tz ni wasafi tu so ikikufa hakuna Tz sorry to say where as kenya Khaligraph,nyashinski,sauti sol hao wote ni separate artist ya mwisho kuna kitu imetokea inaitwa #play kenyan music hadi imefika nigeria so sai kenya haitaki ujinga its either tu claim top spot ama number two,aki sikuwa nataka kuongea hii yote,but umeniforce sorry ka nimekuhurt,mzae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haha why you lying mbele ya kila mtu,Nairobi we rarely talk about Tz and any tanzanian whose.been here can tell you that,pole kukuvunja roho ya pili you talking sana about SA na.venye mnasikiza mziki wao,nikikwambia SA wanajua alot about kenya than.Tz utaona nakupima actually East africa wanajua kenya tu na sitaki ikae madharau but wewe ndo umeanza moto huwezi zima,ya tatu,Music evolves na chenye unafaa ujue Tz ni wasafi tu so ikikufa hakuna Tz sorry to say where as kenya Khaligraph,nyashinski,sauti sol hao wote ni separate artist ya mwisho kuna kitu imetokea inaitwa #play kenyan music hadi imefika nigeria so sai kenya haitaki ujinga its either tu claim top spot ama number two,aki sikuwa nataka kuongea hii yote,but umeniforce sorry ka nimekuhurt,mzae

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani umekosea kuniquote,nilikua sikujibu wewe!

Jaribu kusoma na kuelewa nilichokiandika
 
Kwani Kenya wamekufanya nini Mkuu?

Yaani hata ukisoma comments zako ni kama una chuki nao, maana sioni tatizo lolote la jamaa kuanzisha uzi na kuzungumzia mziki wao,kama haupo interested si unaachana tu na hii thread
Inaitwa utoto na wivu,it happens alot sana sana ka mtu anataka kuwa penye.uko,okay come kenya huitwe mkenya ndo ufurahie baba juu hio si chuki uko nayo inaitwa wivu n i think we ni mzee for that shit,unafaa kupass love message to the young generation,but what your doing your not killing mi but your self utaangamia tu kwa chuki yako,hakuna kitu mbaya ka mtu anakuchukia na wewe humchukii hata humfikirii huyo mtu ukaa mjinga ndo the same case ya huyu jamaa,muelewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rafiki wangeci twende ,taratibu!
Wtanzania hatuvutiwi na miziki yenu kabisa ,na wala hatuko proud ya ninyi kuipenda yetu ninyi nisoko dogo,mbona watanzania wanaskiliza sana nyimbo za south africa ila south africa hawasikilizi zetu na we are very ok,sasa ninyi mnadhani mziki ni bidhaa kwamba kama mnaimport nazima na ninyi muexport ,soko la mziki ni wanadamu wote bil 7 ,mnajisumbua nini na watu 50 mil ? mkubali tu music industry ya tz ni three times big kuliko yenu .

NARUDIA HAKUNA MTANZANIA ANATAKA KUWAJUA ,NDO WALIVYO WA TZ ,NDO THE LEAST TRAVELLING NATION IN AFRICA ,WE ARE NOT INTRESTED MIND YOUR LIFE ,MI NILIENDA NAIROBI NILISHANGAA KILA KITU WANAKOMPARE NA TANZANIA ,GUYS WE DONT SEE YOU AND BURUNDI
Haha why you lying mbele ya kila mtu,Nairobi we rarely talk about Tz and any tanzanian whose.been here can tell you that,pole kukuvunja roho ya pili you talking sana about SA na.venye mnasikiza mziki wao,nikikwambia SA wanajua alot about kenya than.Tz utaona nakupima actually East africa wanajua kenya tu na sitaki ikae madharau but wewe ndo umeanza moto huwezi zima,ya tatu,Music evolves na chenye unafaa ujue Tz ni wasafi tu so ikikufa hakuna Tz sorry to say where as kenya Khaligraph,nyashinski,sauti sol hao wote ni separate artist ya mwisho kuna kitu imetokea inaitwa #play kenyan music hadi imefika nigeria so sai kenya haitaki ujinga its either tu claim top spot ama number two,aki sikuwa nataka kuongea hii yote,but umeniforce sorry ka nimekuhurt,mzae

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya mna manyimbo mabaya, hamjui kuimba, halafu mbona kama unafosi tusikilize manyimbo yenu?? Kenya mziki mzuri ulikuwa zamani!.. saivi eti mnaimba sijui fukuza mapepo!.. hapa haupo na wakenya wenzako ongea kiswahili fasaha..
 
Kenya mna manyimbo mabaya, hamjui kuimba, halafu mbona kama unafosi tusikilize manyimbo yenu?? Kenya mziki mzuri ulikuwa zamani!.. saivi eti mnaimba sijui fukuza mapepo!.. hapa haupo na wakenya wenzako ongea kiswahili fasaha..
Juu wats the diffrence btwn.that n.what mr nice was singing, n secondly hakuna kiswahili fasaha.na chenye si fasah.so.stick to yours i stick to mine,bora maisha iendelee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juu wats the diffrence btwn.that n.what mr nice was singing, n secondly hakuna kiswahili fasaha.na chenye si fasah.so.stick to yours i stick to mine,bora maisha iendelee

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe hutaki kuambiwa ukweli. sasa hakuna kiswahili fasaha kuna nini sasa??. unajaribu kuupa promo mziki wenu ila hatuna time nao!.wakenya mnajulikana kwa kupenda vyenu hata kama vibaya!. kwa maelezo yako ulisema unawajua mbosso, wasafi,jux,maua sama.halafu ukasema una miaka kumi na nane!.. ina maana mziki umeujua jana tuu wewe bado mweupe kabisa!. halafu unajikuta mjuaji sana!.nyie si ndo Juzi kati mlikuwa mnalalamika Willy tuva anapiga sana nyimbo za Tz???. we bado yanki hujui kitu! eti Petra!.nani hapa bongo anamjua huyo Petra??. anaimba aina gani ya muziki??.
Usiforce tuwaskilize!
 
Wewe hutaki kuambiwa ukweli. sasa hakuna kiswahili fasaha kuna nini sasa??. unajaribu kuupa promo mziki wenu ila hatuna time nao!.wakenya mnajulikana kwa kupenda vyenu hata kama vibaya!. kwa maelezo yako ulisema unawajua mbosso, wasafi,jux,maua sama.halafu ukasema una miaka kumi na nane!.. ina maana mziki umeujua jana tuu wewe bado mweupe kabisa!. halafu unajikuta mjuaji sana!.nyie si ndo Juzi kati mlikuwa mnalalamika Willy tuva anapiga sana nyimbo za Tz???. we bado yanki hujui kitu! eti Petra!.nani hapa bongo anamjua huyo Petra??. anaimba aina gani ya muziki??.
Usiforce tuwaskilize!
Kama haupendi nchi yako hio ni your personal issue nimeuliza tu swali simple nani munamtambua kenya so hizo answers zingine sijui zinatokea wapi,ka hupendi msanii kenya nyamaza basi si lazma u contribute,so haupendi kwenu ndo maana basi munaonanga Citizen a kenyan station kuliko mu promote stations za kwenu na.kitu kingine willy tavu alikuwa anacheza kenyan.music kwanza up coming artist na kitu kingune no one watches his show here tunakuanga busy tukiona other staffs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwingine leo alitutusi ati tunaongea kiswahili na mapua ati tuna bana pua,hata sikumuelewa what he meant ,whats up guys na hii swahili yetu,its either inawauma ama mko jealous juu umetry kuongea ka sisi ukalemewa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa
Mwingine leo alitutusi ati tunaongea kiswahili na mapua ati tuna bana pua,hata sikumuelewa what he meant ,whats up guys na hii swahili yetu,its either inawauma ama mko jealous juu umetry kuongea ka sisi ukalemewa?

Sent using Jamii Forums mobile app
tunapendasana siasa yenu,pia wakenya ni wachapa kazi sana ,nje ya hapo tunawachukulia ndugu ila hicho kiswanglish chenu huku wanatumia mashoga
 
Wewe hutaki kuambiwa ukweli. sasa hakuna kiswahili fasaha kuna nini sasa??. unajaribu kuupa promo mziki wenu ila hatuna time nao!.wakenya mnajulikana kwa kupenda vyenu hata kama vibaya!. kwa maelezo yako ulisema unawajua mbosso, wasafi,jux,maua sama.halafu ukasema una miaka kumi na nane!.. ina maana mziki umeujua jana tuu wewe bado mweupe kabisa!. halafu unajikuta mjuaji sana!.nyie si ndo Juzi kati mlikuwa mnalalamika Willy tuva anapiga sana nyimbo za Tz???. we bado yanki hujui kitu! eti Petra!.nani hapa bongo anamjua huyo Petra??. anaimba aina gani ya muziki??.
Usiforce tuwaskilize!
mkuu hivi Petra ni kitu gan
 
Kama haupendi nchi yako hio ni your personal issue nimeuliza tu swali simple nani munamtambua kenya so hizo answers zingine sijui zinatikea wapi,ka hupendi msanii kenya nyamaza basi si lazma u contribute,so haupendi kwenu ndo maana basi munaonanga Citizen a kenyan station kuliko mu promote stations za kwenu na.kitu kingine willy tavu alikuwa anacheza kenyan.music kwanza up coming artist na kitu kingune no one watchea his show here tunakuanga busy tukiona other staffs

Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe unataka tukujibu muziki wenu mzuri sana!. wakati si kweli. nami nimekwambia ukweli mlikuwa mnalalamika nyimbo za bongo zinachezwa sana kuliko zenu, mkaanzisha na hash tag huko kwenye mitandao yenu, mmojawapo ni yule nyashinski!. una la kubisha hapo?? so why station zenu zilikuwa hazitoi kipaumbele nyimbo zenu mpaka mkacharuka?. jibu ni nyimbo mbaya!. sitabishana tena na wewe kaa na mafekero yako!
 
Back
Top Bottom