FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,530
- 46,614
- Thread starter
- #41
Menu, system setting, manual search, ingiza namba 650, bonyeza Ok. Alafu Subiri isearch.
pouwa..
Menu, system setting, manual search, ingiza namba 650, bonyeza Ok. Alafu Subiri isearch.
Mm natumia izi mpya naombeni mnielekeze toka mwanzo namna ya kufanya switch button yake iko nyuma plz.
Thanx..
Jumla channel 27 ukitoa za za local.
Vipi kuhusu aljazeera sport nitaipata vp?
channel zenyewe kimeo me nataka za fox.setanta na true move
Mkuu mbona mnatuchanganya mara T2 decoder switch yake hiko mbele mara hiko nyuma! Which's which?kwanza unatakiwa kujua decoder yako ni ya aina gani kwa sababu code hizi ni kwa decoder za T2 ambazo Power On button yake iko mbele ya decoder. Tofauti na hapo haitafanya kazi
Kinacho nishangaza hawa jamaa wanachezea akili wateja, na kwa kuwa wameingia ubia na TBC (Serikali) basi wanafanya wapendalo mfano: Kwa nini channels kama BBC, AL-JAZEERA, CCTV, SHIBUKA, TUMAINI TV nk kwa nini wanalazimisha wateja kuzilipia wakati wao hawalipi chochote kwa makampuni tajwa hapo juu. Kwa nini wateja wengine wana vingamzi vya zamani T1 wakati sheria inasema wawahuzie wateja vingamzi aina ya T2, Serikali ya Uganda iliwakomalia Wachina wa Startimes mpaka wakaviondoa sokoni vingamzi vya aina ya T1 lakini hapa kwetu TCRA imekaa kimya kabisa; yagekuwa ni makampuni mengine ndio yanavunja sheria saa hizi yangekwisha fungiwa au kutozwa faina lakini si Startimes bwana! Mimi nafikiri mkombozi watu atakuwa ni AZAM TV hao ndio watajari walala hoi.channel zenyewe kimeo me nataka za fox.setanta na true move
mbona mimi niki-select MANUAL SEARCH inaanza moja kwa moja ku-search na hai-nipi option ya kuingiza hizo namba unazosema mkuu!
Mi napenda ch e jamani niwe naangalia mieleka.
Mkuu mbona mnatuchanganya mara T2 decoder switch yake hiko mbele mara hiko nyuma! Which's which?
Thanx 4 the info.Mkuu, decoder ya T2 switch button iko nyuma..
Kaka ch e wanaonesha mieleka ya wiki mbili zilizopita...
Nunua receiver ya hd na router ya gprs kisha unapata channel zote za dstv..
Humo kuna channel ya super sport wanaonesha mieleka live.
Kwa mfano Jumapili ilikuwa ni Survivor Series PPV ambayo ch e wataonesha katikati ya december.
Kaka ch e wanaonesha mieleka ya wiki mbili zilizopita...
Nunua receiver ya hd na router ya gprs kisha unapata channel zote za dstv..
Humo kuna channel ya super sport wanaonesha mieleka live.
Kwa mfano Jumapili ilikuwa ni Survivor Series PPV ambayo ch e wataonesha katikati ya december.