wete
Member
- Nov 16, 2012
- 92
- 61
Thats strange.., it shud take u str8 to channel search without PW..![]()
Jarbu kuweka sufuri ziwe nne,me imeleta sehem ya paswrd nikaeka zikakubali ila inasearch inarudisha kwene tv guide.
Thats strange.., it shud take u str8 to channel search without PW..![]()
thanx it works
Works great..! thanx..!
Sasa kama mmefanikiwa si mseme code zipi zinafanya kazi na sehemu gani?
Code 650 works best for far..
Watch over 30 free channels via startimes...!
follow link: HOW TO WATCH FREE CHANNELS VIA STARTIMES - HOW SCIENCE
Sasa kama mmefanikiwa si mseme code zipi zinafanya kazi na sehemu gani?
Hii itakubali tu endapo Unatumia Decorder yenye Firmware ya awali(Ya zamani). kama decorder yako imeji-UPDATE basi haitakubali. Decorder nyingi zinaji-Update bila wewe kufahamu. ila ukiingia kwenye software information utagundua kaka imeUpdate endapo ulikuwa unafahamu firmware iliyokuwepo mwanzoni.
Niko na decoder zote mbili ya zamani na mpya.kwanza unatakiwa kujua decoder yako ni ya aina gani kwa sababu code hizi ni kwa decoder za T2 ambazo Power On button yake iko mbele ya decoder. Tofauti na hapo haitafanya kazi
kwanza unatakiwa kujua decoder yako ni ya aina gani kwa sababu code hizi ni kwa decoder za T2 ambazo Power On button yake iko mbele ya decoder. Tofauti na hapo haitafanya kazi
Hii itakubali tu endapo Unatumia Decorder yenye Firmware ya awali(Ya zamani). kama decorder yako imeji-UPDATE basi haitakubali. Decorder nyingi zinaji-Update bila wewe kufahamu. ila ukiingia kwenye software information utagundua kaka imeUpdate endapo ulikuwa unafahamu firmware iliyokuwepo mwanzoni.
I think unamaanisha channel zina ji update.., if so just re-enter the channels..
hapana sio channel ni FIRMWARE. wameamua ku_upgrade ili kuzuia vitu kama hivyo , ndio maana watu waliokuwa wanatumia hizo channel za kuchakachua, zimeshindikana baada ya software upgrade. decorder ikiji-Update inakuwa tofauti kwa vitu kadhaa kama vile wakati inaBoot inaonesha Logo kubwa ya Startimes, pia kila ukiselect channel ambayo hujailipia inakupa maelezo kwamba , Tafadhali liapia channel hii ipo katika kifurushi fulani. mimi mwenyewe nilitumia hizo channel zote free kwa zaidi ya mwaka. ila baada ya ku-update zimegoma zoooote
mbona mimi niki-select MANUAL SEARCH inaanza moja kwa moja ku-search na hai-nipi option ya kuingiza hizo namba unazosema mkuu!