How to watch free channels via startimes

How to watch free channels via startimes

Nimetumia 650 then zikaja channels km 9 mbc,prog2- 9 lastly ni prog 69.
 
Ntaipataje hii receiver mkuu,na inauzwa bei gani??

MKuu receiver inaenda kwa bei ya 130000 tu na zinapatikana maduka ya vifaa vya electeonics na rouyer ya gprs ni sh 100000
 
mieleka wanaonyesha chaneli gani?? Ss na muda lini na siku gani??
Mieleka huonesha ss5 na sky sport kuyegemeana na siku za mchezo hasa ijumaa na jumatatu....ppv huwa ni jumapili ila hurudiwa jumatatu asubuhi
 
Jamaa wamefungaaa....leteni maunjanja tenaaaaa
 
Funs over guys.., em' tujaribu kulipa lipa kidogo.., labda watatoa offer tena..
 
Jamani lile tobo letu startimes ndio wamefanikiwa kuliziba kbs au kuna maujanja mengine,tuambizane jamani.
 
Jamani lile tobo letu startimes ndio wamefanikiwa kuliziba kbs au kuna maujanja mengine,tuambizane jamani.
Tundu limefunguka..!! Sasa kwa code ya 682,714 unapata MBC BOLLYWOOD, IFILMS, DUBAI 1 (PROG10) na PEACE TV
 
Back
Top Bottom