Jamani jamani tu at least adabu zichukue mkondo wake! kama tunashabikia siasa halafu hatuijui ni vyema tukaacha kabisa! hilo jero mtu uliloingilia nalo cafe ni heri ungeenda kwa babu kwani pia kiherehere pia ni ugonjwa sugu. Anna still bado ni hot spear kwa mafisadi. huku jimboni kwake anafanya vitu vya kufa mtu. ni mtu wa watu. umewahi kuona wapi jimbo lisilokuwa na makao makuu kuwa juu kimaendeleo kuliko jimbo lenye makao makuu ya Wilaya? KARIBUNI SAME MASHARIKI MJIONEE KILIMO CHA TANGAWIZI,MPUNGA, MBAO MADINI NA Mzunguko mzuri wa fedha katika jimbo hili.