Sabonga
Member
- Apr 19, 2011
- 12
- 0
Hellw! Mimini mara yangu ya kwanza kujiunga na JF.
Lakini kuna hoja ambayo ninaileta mbele yenu inayohusiana na hii tiba ya loliondo. Mie binafsi sielewi uhalisia wa hii tiba kwa kuwa watu wengi wanahusisha tiba hii na uganga wa kienyeji na haitoki kwa Mungu.
Kama ilivyo kwa Mungu huwa anaponya bure bila masharti, siyo utoe 500 ndo upone au unywe kikombe kimoja. Kwa imani yangu mimi binafsi ninavyoelewa tiba hiyo ni ya kimizimu na ya kipepo kwa kuwa sasa kila mkoa wanatoa tiba hiyo wakidai kuoteshwa na Mungu. Ithink hiyo ni alama ya '666'
Lakini kuna hoja ambayo ninaileta mbele yenu inayohusiana na hii tiba ya loliondo. Mie binafsi sielewi uhalisia wa hii tiba kwa kuwa watu wengi wanahusisha tiba hii na uganga wa kienyeji na haitoki kwa Mungu.
Kama ilivyo kwa Mungu huwa anaponya bure bila masharti, siyo utoe 500 ndo upone au unywe kikombe kimoja. Kwa imani yangu mimi binafsi ninavyoelewa tiba hiyo ni ya kimizimu na ya kipepo kwa kuwa sasa kila mkoa wanatoa tiba hiyo wakidai kuoteshwa na Mungu. Ithink hiyo ni alama ya '666'