Mwanangu Kongosho sikuamini utaua. Jinsi ulivyonipa kuwa wewe unafanya ufuska kwa fani sitaki nikuone karibu na Nyani Ngabu. Maana jinsi Mwali alivyomsifia na viwalo vyake unaweza kupindua ligovernment lake. So keep off my dear this is not your time. Nisamehe kama nimekuudhi au kukurushia dege.
Hehe ulikuwa bongo vacation
Aisee, I need somebody like you to protect my interests.Mwanangu Kongosho sikuamini utaua. Jinsi ulivyonipa kuwa wewe unafanya ufuska kwa fani sitaki nikuone karibu na Nyani Ngabu. Maana jinsi Mwali alivyomsifia na viwalo vyake unaweza kupindua ligovernment lake. So keep off my dear this is not your time. Nisamehe kama nimekuudhi au kukurushia dege.
I didn't know my dear! kumbe NN ni kaka yako?
Sasa toka lini mimi na wewe tukafichana vitu vizuri?
Konnie, we nawe! kwani kila kitu lazima EMT ajue?
Ila niseme tu kweli mwenzangu, Nyani Ngabu is hot!
Aisee, I need somebody like you to protect my interests.
Sio kwa Konnie lakini, kati yake na mimi hakuna microbes
na tena amenambia ni dada yake NN (sijui nani mkubwa?)
Ila kuna manungayembe mengine humu, nayaskia yanakuja
Niliipenda sana. The juice itself was nice, but i liked something else about it.Hahahahaaa! You got me and you got me good.
Uliipenda ile juisi lakini?
ha ha ha, manungayembe?
Ukipigwa mie nakimbia, sitaki shida.
Kama ni hivyo basi tawile na endelea kuwa mshereheshaji. Again kama ni wale akina huyu ni Uncle wakati wakijipinda sehemu wananyonyana damu mtajijua wenyewe mie simo. Kama mdingi nimenasihi. Basi awe dada wa kweli mamaangu asiwe kama wale kaka wa akina Rua! Naomba nisimalizie hii sentensi watu wasijenitoa manundu bure.
Niliipenda sana. The juice itself was nice, but i liked something else about it.
Si unakumbuka ile round ya pili na wewe ulichukua kama yangu (Mix ya passion and pinaple)?
nilivokua naskilizia ladha yake I was happy that our tongues were feeling the same taste...
Mwanangu Mwali kuambiwa ni kaka yake si big deal. Kuna jamaa siwataji utakuta anakwambia huyu ni kaka au uncle. Wakipata fursa wanamegua na kuhomola. Angalau siku hizi tunawajua. Kabla walikuwa wakituingiza mjini. Unaoa kabila lile unakuta mitoto yako inafanana na kaka mtu anasema ni ukoo kumbe jamaa alipandikiza shambani mwako. Nashauri uwe makini mwanangu dunia siku hizi gunia. Wa kuamini hasa katika mchezo huo ni wachache. Tumeyaona mengi wazazi wako.
Mwali anajua kutengeneza tindikali huyo.
Kudos binti yangu nimekuelewa. Si unajua tena utamu wa kujibu hoja hapo hapo kabla bongo halijachachawa na mengine. Samehe basi.kama unaweza ku-quote unayemjibu inanoga zaidi, kama unatumia simu click 'reply' kama komputa click 'repy with quote'
halafu unaandika chini ya hayo maandishi lol
najichanganya bila quote.
Ukikuta ana nyuki mbili usitoke nduki
Ukikuta
nilivokua naskilizia ladha yake I was happy that our tongues were feeling the same taste...
Kudos binti yangu nimekuelewa. Si unajua tena utamu wa kujibu hoja hapo hapo kabla bongo halijachachawa na mengine. Samehe basi.