Roboti Wa Nape
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,644
- 3,808
Acha kujiliza. Hakuna sehemu nimekejeli. Naomba majibu.Mkuu acha kejeli ukidhihaki Qur’an sio kwamba unaniudhi mimi laa asha unaudhi watu wengi, mimi sio muhakilishi wao, bora nitukane mimi ila sio ummah zima mkuu tuweke heshima mbele tuvumiliane na kustahimiliana tu.