Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,261
- 72,431
anhaa iwe kati ya 1-9Hajamaliza bado maana inatakiwa digit moja 13 achukue 1+3=4
anhaa iwe kati ya 1-9Hajamaliza bado maana inatakiwa digit moja 13 achukue 1+3=4
Yaan hii mimi Kabisa tena vyote 🤓😞Life path number 7 inatupa watu smart, wadadisi na watu wenye matamanio ya kutengeneza solutions kwenye matatizo fulani
Madhaifu:
Overthinking- unakuwa na mawazo sana kupita kiasi
Ni watu wagumu kubadilisha tabia zao
Nimesoma inaelekeza hivyoanhaa iwe kati ya 1-9
Mnasomaje hizo namba jaman ili na sisi tuangalie mamikos yetu?Numerologist wanaita life path number!
Mfano mimi ni life path number 4 baada ya kujumlisha tarehe yangu ya kuzaliwa mwezi na mwaka nikapata 40, therefore 4+0= 4
Life path number 4 ndio namba yangu ya bahati according to numerologist na sifa + madhaifu yake yanaendana na mimi kabisa
Ila wanasema life path number 8 ndo baba lao very powerful na ina some sorts of richness
Sijaelewa kwa kweliKwema wakuu
Hali ya maisha imekuwa ngumu, imenibidi niingie google chapu kuangalia namba yangu ya bahati labda ntatoboa
Ila nilichokutana nacho nimepagawa nikasema nije nililete kwenu wakuu hamjawahi kushindwa, angalia hapo chini walivyofafanua namna ya kupata namba yako ya bahati kupitia siku ya kuzaliwa
To begin with, add the digits in your birth date until you get a single-digit number.
For example, if your birthday is January 28, 1992, you would add 1+2+8+1+9+9+2 to get 32. Then, you would add 3+2 to get 5. So, in this case, five would be your lucky number
Baada ya mimi kuingiza namba zangu na kuzijumlisha mzigo ukaja 49, sasa ukichukua 4+9=13
Hapo nikatetemeka kidogo nusu nilie maana hii namba nasikia ni hatari sana, hata matajiri hawaitaki kwenye hotel zao
Sasa mimi ntatoboa kweli kwa 13?
Vizuri sana wewe ni namba 7?Yaan hii mimi Kabisa tena vyote [emoji851][emoji20]
Samahan kiongozi , hiyo 49 uliyojumlisha umeipataje?Kwema wakuu
Hali ya maisha imekuwa ngumu, imenibidi niingie google chapu kuangalia namba yangu ya bahati labda ntatoboa
Ila nilichokutana nacho nimepagawa nikasema nije nililete kwenu wakuu hamjawahi kushindwa, angalia hapo chini walivyofafanua namna ya kupata namba yako ya bahati kupitia siku ya kuzaliwa
To begin with, add the digits in your birth date until you get a single-digit number.
For example, if your birthday is January 28, 1992, you would add 1+2+8+1+9+9+2 to get 32. Then, you would add 3+2 to get 5. So, in this case, five would be your lucky number
Baada ya mimi kuingiza namba zangu na kuzijumlisha mzigo ukaja 49, sasa ukichukua 4+9=13
Hapo nikatetemeka kidogo nusu nilie maana hii namba nasikia ni hatari sana, hata matajiri hawaitaki kwenye hotel zao
Sasa mimi ntatoboa kweli kwa 13?
Hapo walipoandika ni wagumu kubadilika tabia ndiyo 7 yangu ilipokoleaVizuri sana wewe ni namba 7?
Endelea kuchimba madini kuhusiana na namba 7 na namna ya kuishi maisha ya mtu mwenye namba hiyo
Hii namba itaku-guide namna ya kuishi ili kupata mafanikio makubwa na furaha
Chukua tarehe ya kuzaliwa, mwezi na mwaka jumlishaSamahan kiongozi , hiyo 49 uliyojumlisha umeipataje?
Maana ulipata 32 ukasema namaba ya bahat ni 5 kwamaana ya 3+2 sasa hapo 49 imekujaje ili na mm niangalie yangu?
😅😅😅Umeyatimba mwanetu ngoja mtaalamu wa namba aje kukusaidia DR Mambo Jambo
Life is all about math!Hapo walipoandika ni wagumu kubadilika tabia ndiyo 7 yangu ilipokolea
good for youNimesoma inaelekeza hivyo
That's true boss tupe madini[emoji28][emoji28][emoji28]
Hiyo sio Lucky number kwanza hiyo ni lifepath number..
Ni namba ya mapito yake tu..
Luck number mara nyingi inadeal na Birth Date na month peke yake..
Aau kwa akadean wanadeal na Date peke yake..
Acha ujinga[emoji23][emoji23]Mwanetu una nyota ya fisi, Pole ndo ukubwa huo
🤣🤣🤣Acha ujinga[emoji23][emoji23]
Kwahiyo nianze safari ya kurudi Serengeti au Tarangire?
Namba 9 je?Life path number yako
Sifa:
Mbunifu
Unaweza kuwa kiongozi mzuri
Sometimes maamuzi yako yanaweza kukufanya kuonekana kiburi kwa watu wengine usipokuwa makini
Madhaifu:
Una aibu
Mtu mwenye depression
Unapenda sana kusikilizwa
Kumbe😅😅😅
Hiyo sio Lucky number kwanza hiyo ni lifepath number..
Ni namba ya mapito yake tu..
Luck number mara nyingi inadeal na Birth Date na month peke yake..
Aau kwa akadean wanadeal na Date peke yake..
Sasa tuelekeze tufanyaje au nije inbox😅Kuwa life path number 8 sio hoja kubwa!
Muhimu ni kujua namna ya kutumia namba yako kama luck number
Itakusaidia katika mambo mengi ya mafanikio na itakuongoza vitu gani vya kufanya na vipi si vya kufanya,
Mpaka kazi na hata mke gani wa kumuoa, so lazima uwe kwenye system ya life path number 8 ili uwe powerful na mwenye mafanikio
😳 oo my God😒Namb
Namba 9 je?